KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 10 July 2013

MBUTA NANGA 'MAJANGAAAA!!FLORA LYIMO FASHION POLICE OF 10/07/2013 AZITIZAMA PICHA ZA MAPOZI YA WEMA SEPETU NA MAVAAZI YAKE 'JE MNAMKUBALI KWA HER SURA AU MAVAAZI ? MBUTA NANGA!!

 
'''HIVI WEMA SEPETU NDO YUPO HIVI''?? JAMANI MNAO MFAHAM AU MNAOPISHANA NAE MITAANI HUKO BONGO ''HEBU NIAMBIENI WASIJE WAKAWA WANAMINASO NDO WANAMFANYA HIVI ..EEE''' 
Hebu semeni yenu Nyota zangu Maana wengi Watanzania ndo mpo nae huko ''si mnajua Mimi napenda niweke vitu vyenye maukwee na mauhakika ya zaidi ya 100%' haya kazi kwenu''FLFP'
 
 
Hapa Wema akiwa amevaa kimtoko wa kwenda kwenye Red carpet which is a no no ''yani Don't go kwenye Red carpet ule mkeka wetu HOT WEAR mwekundu hivi 'yani Avoid kabisa hii nguo inafaa kwenye mitoko mingine yote ukiikata hicho kitambaa cha chini'' na kuiacha hivyo hivyo yani imekupendeza sana bila hicho kitambaa kilichomaliziwa kuanzia juu ya magoti kwenda chini kabisa'' but well done to that Designer ''is just not for a red carpet do''
Na linguine hiyo hair style pia is not for Msichana kama wewe Wema is for Mtu kama Mama yako will be look nice on her''
Yani AVOID that look kabisa ,mengine unayajua wewe''yakuacha my dear'' Have your say Nyota zangu''FLFP''

9 comments:

  1. mkorogo umemuharibuje..Wema kazeeka kuliko Mama yake''' majangaaaaaaaaaaaa''

    ReplyDelete
  2. Flora you are a real fashionist haubahatishiiii! The dress kweli would look really nice without kitambaa cha chini

    ReplyDelete
  3. florah mbon nawe waenda beach na nguo ya kuendea harusini?

    ReplyDelete
  4. Anonymous 03;28 Yatakushnda na yameshakushinda.mbuta nanga, MIMI PALE KWENYE ILE NGUO YAKUENDA HARUSINI BAHARINI NIPO HARUSI....,TENA BAHARI YA MAJUU''

    ReplyDelete
  5. muulizeni dimond Platnum lazima ali mfunuaga! mbuta nanga!

    ReplyDelete
  6. bahari ya majuu ndio nini,bahari ni bahari

    ReplyDelete
  7. Anonymous '''04.04
    Kweli wewe ni Mburula wa mamburulas...hata siwezi kukujibu....NYOTA ZANGU HEBU MJIBUNI HUYU MBURULAS,,HAJUI HATA NI KWANINI ANAISHI HAPA DUNIANI''MBUTA NANGA'''

    ReplyDelete
  8. lakini jamani kusema ukweli wema alikuwa siku ya wanawake aliandaa shamimu ilikuwa vitenge day kabla ungejua alikuwa anaenda wapi jamani umemuonea lakini na pia kuhusu nyewe kila mtu na mapenzi yake pia unaweza kujiona unajua vitu vingi kumbe ikawa siyo sio vizuri kumvunja mtu moyo kwenye maamuzi yake kama wewe uvae uone umependeza kesho ukute mtu kakutundika gazetini kukukosoa sio poa hata mkorogo ni maisha yake na maamuzi yake naimani unao rafiki wanaokuzunguka wametumia mikorogo ni ujana tu ulimtetea t.i.d nilikuelewa sana tusiwasimamge wasanii wetu tanzania kitu kimoja tupendane samahani kama nitakuwa sijakuelewa ulikuwa unamaanisha nn mana sisi wote binadamu bila ukamilifu

    ReplyDelete
  9. ANONYMOUS 20:27... BASI ATAKUWA KAIVAA MARA MBILI ,,,Mbuta Nanga!!!

    ReplyDelete