KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 9 August 2013

BY:FLORA LYIMO~ ALBUM (1) YA BAJAJI ZA ULAYA UK -LONDON ZAINGIZA PESA NYINGI KWA WAENDESHAJI WA BAJAJI HIZO HAPA LONDON MTAA WA MAPESA' NA YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE ATEMBEZWA NAZO KUJIONEA WATU HASA WAISLAM WATALII WAKIFANYA SHOPPING ZAO ZA SIKUKUU YA EID 08/08/2013 AT SELFRIDGES''

 Geting on 'Yani ndo mtindo wa Watalii London zaidi huu wa kutembezwa kufanya Shopping na hivi vibajaji''Yani hapa Ulaya-London vimekuwa kama zile Bodaboda in Bongo''Ila tofauti ni kwamba hivi vibajaji unaingia hapo na kutembezwa Mjini taratibu ukiwa huna haraka yoyote'' Na Bodaboda in Bongo unaingia hapo kwasababu ya Shida ya Usafiri na kutaka kufika Nyumbani au unakoelekea fasta fasta '
 Nikiwa nimesimama Nnje ya Duka hili kubwa kuliko Maduka yote yaliyopo Mtaa huu wa Mapesa Oxford Street London''



 Nakuwazaje My African Kingi wa Ukwee' Soon utajikuta umekaa hapo kando na Mimi tukizunguka Mtaa huu wa Mapesa pamoja'' Ruwa Mangi''




 Picha zitawaambieni yote''Hata Mama Tunu Pinda a.k.a. Mke wa Waziri Mkuu'keshatuambia Maneno hutokea kwenye Picha '' Mbuta Nanga''I love you Mama Pinda'' hahhahaa'bado nachekaje''

 Wakati wakulipa kutoa pesa yangu huwa nanunaje pesa inashuka badala ya kupanda''Mbuta Nanga'I think Wachagga wengi hawapendelee kuona Pesa yao ikishuka''Right'' Even you I think ''Unapenda kutoa Pesa au unapenda kupewa? wacha majibu yako hapa hapaaa!


HABARI NDO HIYOO ''MORE PHOTOS TO COME'' ENJOY AND IKIWA BADO HUJATUFUATA USISAHAU TO FOLLOW THIS BLOG''

1 comment:

  1. Mdada umetokelezaje''Happy EID and enjoy maisha Muke yake African King mtarajiwa''Miss you mingiii Mpora'

    ReplyDelete