KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 20 April 2014

BY FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS ~EXLUSIVE EASTER WEDDING ON 19/04/2014 ILIYO HUDHURIWA NA FAMOUS PEOPLE AND FAMOUS CELEBRITIES'' MBUTA NANGA''KANTANGAZEE!!



The Top in Town Celebrities Flora Lyimo and Shilole'' I miss you and Love Shishi beibeee '' Now Enjoy her song''tuliuchezaje sasa ..last night '' Full kukata mauno kwa raha zetu'' Ukiona heka heka ujue our super Kaka Anaowaa''
 Si mwingine ni yule yule''The Talk in Town aka The top in Town 'Flora Lyimo Fashion Police at Easter Time ndiyo Mambo ya Manjano Manjano Rangi ya Furaha'' Im so Happy ''I thank you God everyday for My Life and The People Who stand Bega kwa Bega na Mimi kwa shida na raha na hasa wale ambao wanani support hasa pale ambapo wengine wenye chuki na Wivu na Maisha yangu wanapofanya kila njia za kuniharibia Bahati zangu na mafanikio yangu niliyopewa na Mwenyewezi Mungu ,huku wakisahau kwamba Mpewa kesha pewa na hapokonyekiii'' Wao ndiyo mpaka sasa wananipa BIG SUPPORT'' Akiwepo huyu my Super Kaka ambae Leo ameingia kwenye Maisha yake Mapya ya Ndoa'' I AM SO PROUD OF HIM''' AND SO HAPPY TO THE BOTH OF THEM MR &MRS...''GOD BLESS NDOA YENU IDUM MILELE NA MILELE''AMEN''
AND TO ALL  FLORA LYIMO BIG SUPPOTERS''I LOVE NYIE MINGIIIIII'''

Flora Lyimo at her Blessing London Home ''Pembeni kulia ni zawadi zangu za my next week big Birthday''nilizoanza kupewa mapema''IM SO BLESSED''
 Nipe siri ya Urembo my Super Dada and Friend aka Team Top Chaggas In UK -London '''Yani azidi kuwa Mrembo utadhani ndiyo ana miaka Ishirini '' And her Hair style is just FAB'' Keep it like that Always ''Jamani si mwamuona wenyewe eee'' na asiwadanganye Mtu last night kwenye hii Exclusive Harusi tuli ENJOY KINOMAA''NSHATANGAZAA''MBUTA NANGA!!
Flora Lyimo na  Balozi wetu hapa UK-London '' MH.Peter Kallaghe'' Tumefika kusherekea na Kaka yetu Mpendwa kuonyesha how we LOVE HIM AND SO HAPPY FOR HIM 'Kuga hatua ya Kuowa Kihalali'' Jamani Kuowa Raha ,Raha Kweli kweli ''Video na Picha za hi FAB Harusi zinakuja soon ili mjionee Wenyewe''


Mwanamke Nyongaaaa'Mbuta Nanga'Mpaka chiniiiiiii''hahahhaaa' Raha Rahaniii''


Flora Lyimo asieogopa Mtu wala kitu ''na Asie yumba wala kuyumbishwaaaa'
Mbuta Nanga''Hapa lazima hapakosekani Flora Lyimo 'Yani yupo hapa Hii ndiyo Meza yao'' Full kulewa na kufurahii'shwangwee Changweee''Kaka yetu kaowa leo '''Changwe 'eeee''Changwee' Kaka yetu kaowa Leo'' Jamani najiimbia kwa Raha za Wachagga ,yani hapa palikuwa kama Kule Home Uchaggani'' Riya Mbee''Chezea Wachagga na Mbege zao wakuwache Baharini ukiyashangaa maji ''' hahhahaa''
Mambo ya Wachagga Mnayaona eeee'' Mbege hatariiii''' Tuliziogea haswaaaaaaaa''mbuta nanga!!



Mnaona Maji yaliyotumika'' siyo ya Kilimanjaro chupa ya Mpira ''Ni ya Kilimanjaro chupa ya Glasi'''Habari kama huwezi kusoma na Picha pia Huoni ? Mbuta nanga!! 
Hapa ndiyo watu wanaanza kuondoka ondoka yani wengine tulikeshaaaa''hahhahaa''ndiyo Raha ya kufanya Party at your Home''Hakuna kujipa Shida na Kutupa Hela kwa Maukumbi ya UK ya kitapeli''yani unalipia ukumbi na unapangiwa masaa'' Hicho tu''ndiyo huwa sipende kufanyiaga shughuli zangu maukumbini'' I love Party za kusherekea mpaka majogoo ya wike''
Nilivutiwa sana na hii mishumaa Very Romantic Japo sipendi Mimi binausi sipendi Mishumaa kuwashwa at my Home''  But this one was just outside kwenye Ngazi alafu kagiza kalivyotokea basi was so Lovely''
Romantic Mishumaa'' Hii ni ishara kwamba (Mpora )Wifi yetu she is so Romantic'''Na ndiyo maana Kaka yetu kamuowa'' Halooo''mlisema hataolewa na sasa kaolewaaaa'''Kantangazeee''
The top in Town Flora Lyimo na Balozi wetu wa sasa hivi hapa UK -London  '' Raha Rahaniiiiii'' Shikamoo Baloziii'' 
Exclusive More Fab Photos to come'' Follow this blog ili usipitweee'
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

5 comments:

  1. woowoow my Flora Lyimo upo juuuu na Balozi wako full kumechi ...i do love you sana sanaa...

    ReplyDelete
  2. Oh''My od.I saw you on Tv.''Mboni Show'' I really did appreciate you Flora...I later desided to send you ma request on facebook ....Thanks that you responded Quickly ...You are so smart and sharp..Am proud of you ma fellow Tanzanian..

    ReplyDelete
  3. VP dada nilisikia ukisema unataka mashuka ya kimasai je unahitaji???

    ReplyDelete
  4. Hi Mdada mambo vp uko poa nimeona kipindi kwenye tz I like it .Hongera ongeza bidii dada '

    ReplyDelete
  5. mmependeza sana super star wetu wa kichagga '' hongera sana kipindi chako na Mboni tv show kimekuwa gumzo mjini 'we love you Flora Lyimo ''Mungu akubariki sana na kazi zako pia..

    ReplyDelete