KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 22 April 2014

BY :FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS ~ FLORA LYIMO JUST RECEIVE HER GOD AWARD OF THE 40 YEAR'S OLD SEXIEST &BLESSED TANZANIA WOMAN IN THE WORLD'' HAPPY BIRTHDAY TO ME'' GOD YOU ARE MY EVERYTHING 'I LOVE YOU AND THANK YOU FOR MY LIFE'' RUWA AIKA MBEE!!


Mbuta Nanga''walinipakaje Cake za Usoni' My First Birthday Party ever 'kwa mara ya kwanza Bila hata kujua kama watu husherekea miaka yao ya kuzaliwa na cake '' Yani was the Best one ever '' And tangu siku hiyo mpaka leo bado nasherekea Birthday zangu '' God is Great ''I thank you Him everyday for my Life''
 Hhahahaa'Mchagga ameingia Mjini ''Mapozi ya kupiga Picha mnayaona ee''Ila hayo mahindi ni mimi niliyaotesha Kwenye Bustani yangu hapo nilipokuwa nakaa na mama mmoja wa Kizambia'' Yani she was a very nice Mama Mpole sana'' na Watoto wake wa Tatu '' very cute and Pretty'' Na nilipendana nao sana'' But Life ndiyo ilivyo ''I have to Go and kufanya kazi nayoifurahia'' Dancing and Singing '' I use to Love it song much ''Yani hata mpaka sasa hivi I love Dansing and I can Dance ''Kuimba ndiyo siwezi maana sauti ishakataa baada ya kupigwa oparesheni kubwa ya kuondoa tenzi ''Jamani tenzi ni mbaya mno ''yani zilivyokuwa zinani sumbua tangu nikiwa Mtoto'' nilikuwa hata uji hauteremki kabisa'' Ila hapa London wakaja kuzitoa'basi wakazitoa vibaya na sauti nikapoteza kabisa''hata hii niliyo nayo sasa hivi namshukuru Mungu ''maana nilikuwa bubu kabisaa''God I love you so much for my Life'' sijui nikupe nini ila Shukrani kulitaja jina lako popote bila woga''AMEN''
 Flora Lyimo (in white) with a Friend in London anaitwa Ester '' Yani she was the Best kwa kucheza mauno 'ni balaaa''

Flora Lyimo 'Akikabidhiwa Cheti chake cha kumaliza shule ya Msingi darasa la saba in 1989'' Shule ya Msingi Kilema Kubwa;;Na hapo nilikuwa najiona basi nimekuwa na nipo free kwenda mijini ili kipindi cha sikuku za xmas niweze kurudi home na mijizawadi kibao yani masanduku ya nguvu ''Hahahaa,,Only what i didnt know''ni shidaaaa'' Mjini siyo mchezo kabisa 'Na najionea yote '' Ila thanks God niliweza kujiepusha na Wanaume kwani my dears wanawake wenzangu ,Jueni kwamba maisha yako lazima ya Rudi Nyuma pale utaanza kuzaa ukiwa Mdogo na huku pia ukiwa hujajipanga'' Jipange na fikiria Je utakapo mzaa huyo Mtoto au Watoto maisha yako yatakuwa wapi na Mwanao ,Wanao '' Kweli Muda wa kuzaa ukifika utazaa tu ''msipiganie kuzaa mkiwa wadogo na huku hata kazi hamna,pakuishi pia hamna''
Flora Lyimo in Nairobi Kenya''Yani hapa ndiyo nina mwaka mmoja mjini '' Kwa mara ya kwanza tangu nitoke Kijijini kwetu Kilema Moshi Kilimanjaro '' Nilikuwa najifunza sana Mambo mengi fasta fasta nikifikiri ndiyo kufanya kila kitu fasta fasta ndiyo kufika au kufanikiwa ,kumbe wapi '' Safari ni ndefu na taratibu ndiyo mwendo mwema wa Mafanikio yako ''Hapa nilikuwa namfanyia Mama Moja kazi za nyumbani na kusoma'' nilijisomea English and Computer '' Ila nikaona hapa Darasani napoteza Muda nahitaji kwenda Home na Mabegi makubwa kubwa full mijizawadi '' na ninaposoma sipati Hela tena Hela yangu ya Mshahara ndiyo namalizia hum darasani nikijifunza Kizungu na kuandika na maishine'yani hayo ni maneno yangu niliyokuwa najizungumzisha mwenyewe'' Basi nikaona bora niache'' nikawa sasa natafuta Kazi zakufanya za ziada ili nijipatie Hela nyingi ''nikawa kila Jumapili baada ya kutoka kanisani naenda kwenye Music kuangalia show '' na huko huko nilipo muona Mdada mmoja akicheza Chakacha(mauno) nikasema basi na mimi pia nitaweza na ninataka kucheza'' nikaenda na kumfuata DJ'' Vipi Kaka hata Mimi na weza kucheza kama huyo Msichana'' Akaniambia kweli ''Nikamuambia kweli kabisa'' Basi akaniambie niende mchana wa Jumapili itakayo fuata ''nitakutana na mhusika wa hizi show'' Nilifurahije sasa'' Uwii nakumbuka kurudi Home na kufika Chumbani nikajifungia humo nakuanza kucheza mauno bila hata mziki''najiimbia mweneywe Kichwani na huku nacheza''Mbuta Nanga''
Flora Lyimo in Mombasa Kenya'' Kama kawaida yangu au yetu sisi Familia ya Basilei Lyimo ni wacha Mungu sana''yani hatukosagi kanisani au kuomba kusali Rozari ''Yani unakuta Usiku kabla ya kulala tunaanza kusali Rozari tena kwa sauti ''Na Mama yetu alikuwa akitupa zam '' Leo nikianza kusalisha Mimi ,Kesho atasalisha Ndugu yangu Mwingine''  na kanisani hakuna kukosa'' Bora hata uwe umekwenda na ukarudia njiani ''lakini hujaonekana Nyumbani siku ya Jumapili umekosa kanisani'' Thank you Mama'' Kweli Mama yangu kanifundisha Mengi sana'' Yani Mengi mno nimeiga kutoka kwake'' na Vile vile kuepuka'' kwani Mama yangu huwa kila siku nilikuwa na Muambia .kwanini Mama ukaolewa mapema hivyo na kuzaa Watoto wengi '' Na jibu lake 'ni kwamba ''Kuwa uyaone Mwanangu '' Ukiweza kuyaepuka Ya Dunia jua Wewe ni Mwerevu sana na pia Mungu yupo na wewe'' And she is right''' Yani hajakosea kabisa'' Maana asikudanganye Mtu ''Mimi ni mwerevu sana na pia Im so Blessed'' na hiyo ni zawadi kubwa sana Mungu aliyonipa'' Thanks God'' 


Mbuta Nanga' Flora Lyimo na swaga zake za enzi zilee'in Mombasa Kenya''alafu Mimi nimsomaji wa Magazeti na magazine hatari 'yani nilikuwa sikosi gazeti la kila siku '' na kutembea nalo ''now I know where I get uandishi wangu na Blogging From''

Cake zilikuwa za kutosha mbili haswaaa''' Jamani Im Blessed with Good Friends even Bad one is ok ''that is the way Maisha yanavyojichanganganya'' But siogopi kabisa kupoteza niliyoyaunda .Ila nisiyapoteze kwa sababu ya Mtu au watu kuweka fitina na mawivu yao ..si mchezo huwa nakuwaga na hasiri fulani ambazo zinanifanya nipige mpaka mikono na miguu ichoke na kushindwa kumpiga'' Yani nashomshukuru Mungu ni kwamba sasa nimeshaweza kukaa na kuwapotezea maana hawana Lolote'' na mwisho wasiku naweza msukuma Mtu kumbe anayake na hapo hapo mauti kumfikia na Mimi kujikuta nikichinia gela'' No I will Pray badala ya Kupigana wala kugombana now'' Thanks God kwa kuniongoza kuweza kujiepusha na hilo'' My Friends wenye kuchonganisha watu ''Jueni kuna Mungu na malipo ni hapa hapa Duniani ''Mbinguni ni kusafisha Nguo za madhambi yako tu''Ruwa Mangii
Flora Lyimo .Muke ya  Muzungu  1997 in Dar 'Yani kwa kweli 'Nimeona niwawekeeni hii ''Ili wenzangu Watanzania wenzangu muelewe kwamba siyo Wanaume wa Kitanzania ndiyo ambao ni wadanganyifu kwa Wake zao 'hata wazungu pia' Kwani huyu tuliachana Baada ya Yeye kumpa Mwanamke Mwengine wa Kizungu (mwenzake) Mimba na ndiyo kwanza wenyewe tulikuwa hata Miaka miwili hatujamaliza ' And na mshukuru Mungu 'Mwanamke mke yule alipokuja kuniambia Mimba aliyokuwa kaibeba ni ya Mme wangu ,Sikuweza kumlaum ,nilichofanya ni kumlaum huyu Mme wangu na tukaachana 'Mpaka leo ''Yani anaishi kwenye maisha yangu kama ukumbusho na Fundisho pia'' so Habari ndiyo hiyo'' Wanaume wote ikiwa ni hawajatulia ni hawajatulia tu'' na usimlaum mwanamke yeyote atakae tembea na Mme /Boyfriend wako ikiwa HAMJUANI'' Mlaum Mmeo/Boyfriend wako maana yeye ndiye anayekujua nje na ndani ''Huo ndiyo ushauri wangu kwenu ''nikiwa ndiyo nimegonga miaka yangu arobaini '' najivunaje sasa'''

 My DDF' Yani Huyu ndie Mtanzania wa kwanza hapa London kumfaham na pia nilitambulishwa kwake na huyu my Ex Mzungu hapo pichani juu'' Yani She is the Best Friend Mtanzania -UK Nilishawahi kumpata maishani mwangu'na Mtoto wetu Junior ''Sitokaa niwaondoe pale nilipowaweke katika Moyo wangu on that very first time ' Milele ,hadi Kifo '' Na Mungu ndie Mshaidi wa Kila kitu katika Mapenzi yetu '' Yani hakuna atakae weza kuichukua nafasi yenu Kamwe''God Bless and Remember How Much I love nyie''Busuuuu Mingi ALways ''
 Hahahaa'hapa ni My first Birthday ever 'in Mombasa ndiyo nimetimiza miaka 19''Happy birthday Miss Florida'' Walikuwa wananiita Miss Florida kwasababu nilikuwa nimeshinda shindano la la kucheza Chakacha kwenye hii night Club inayoitwa Florida Night Club'' Yani Bidii yako ndiyo Ufunguo wako wa maendeleo katika maisha yako'' God is Great '' Yani kweli hapa ungeniambia nitakuja kujikuta nimekaa at my own Flat in London nakuandikia hii habari ya miaka yangu arobaini '' Nisingekukubali kabisa yani ningekuchekelea sana'' but here I AM''God is Graet

Left is Flora Lyimo in Kiembeni Mombasa Kenya'nikiwa kwenye kakibanda changu cha kuuzia Nguo '' And right is Sokoni hapa mjini London 'Liverpool Street'' Mteja akijipimishia Viatu '' Jamani Yani sikujua this is one of my dreams'' coming true ''Yani sasa kukuwepo na Duka langu Oxford Street London ''na hii ni baada yangu Mimi kukuwepo kwenye Masoko masoko tofauti ya hapa London ''Siwezi kuwaambieni How Blessed I AM And how Happy I AM ''Yani haya ni Rasha Rasha za mvua tu''bado Mvua za mawe haswaa'' Maana Ningependa one day ''kuwa na Duka kubwa na kuliandika kabisa my name on it'' kama vile John Lewis.. I love John Lewis Shop vitu vyangu vingi nanua huko ,sababu liaminiaa'' And I cant wait for me to have my Shop like that'' You know ''You just have to keep Calm and Carry On'' Carry on doing your thing'' and to be scared of those Haters who will want to see you Died'' Yani Only You and God 'Mnaweza kusimamia maisha yako ''You make your own Life and no one else'' Kaa ukielewa hilo'''
Mastaa wakutana na Tabia zao zikifanana utajua tu'Flora Lyimo aka Mbuta Nanga''and Mboni of The Mboni show ndani ya Flora Lyimo Shop in London Oxford Street  mwaka huu 2014'' God is Graet ''Thanks all for your love and support'' Nyote mnamkubali Flora Lyimo nakumpa support zenu mnajijua''Please jueni hakuna zawadi mnayoweza kumpa Mtu kama hiyo mnayo nipa Mimi Sasa Hivi '' I love you and I will always Support you where I can'' Be Bless Always''
Mwaka jana 2013 My Birthday at my Blessing Home'' and my First Mbuta Nanga Cake'' Love you my Girls '' Thanks for been Marafiki wa Ukweli '' I will always Love Nyie '' Stay Bless Always''Na wale wengine wote ambao hawapo hapa Pichani mnajijua ''I love nyie Mingi mingiii''And I cant wait to party hard na nyie again soon ''

Hahahaaa''Jamani niwacheni tuuuu'yani nimetoka mbali na Hela yangu ukiona naila na nikakushirikisha ,,Aminia Ni Ishara kubwa sana ya Upendo nilio nao ,,na Ningependa niweze kuwashirikisha marafiki wote na wale wote wenye mapenzi mema na mimi na wenye kunitakia Mandeleo ya Juu tena Juu zaidi ''lakini uwezo wakufanya hivyo unashindikana'' sababu nyingi zikikuwepo za Umbali tulionao ''Ila God knows one day it can happen'' Aminiaaaaaaaa''
Kwa kweli nawezaaa' Flora Lyimo ndiyo kafuma hivi viswaga vya Mtoto''yani Im so Proud of myself kwa kweli'' THANK YOU MY MAMA KWA KUNIFUNDISHA KUFUMA NA MAPISHI MOTO MOTO ,BILA KUSAHAU BIASHARA '' YANI KILA NINACHOKIFANYA LEO GOT IT FROM MY MAMA''

Flora Lyimo Designes &Trades London Oxford Street '' Left is Da'Mboni of The Mboni Show''and Right is the CEO mwenyewe 'Flora Lyimo Fashion Police Blog, The Market Trader,Photographer ,Blogger and Fashion Designer '' Yani ukiweka hayo yote utapata' THE LEGEND'' KANTANGAZEE''
Basi ni hayo tuu machache kwa leo msisahau kuja tena kwa mambo moto moto and Flora Lyimo How to look sexy at home in her 40th is coming soon '' Be Bless Always'' I love nyie Mingi mingiii''mabusuuu''
USHAURI WANGU KWENU MKUBWA NI HUU''
Yani kuna Mambo mengi sana nimejifunza kutokana na Urafki wangu na my Best Friend Kipenzi cha Moyo wangu ''she is and she will always will'''' Sasa basi chakuweza kuwashaurini my dears Leo nikiwa hai hapa Duniani na nikiwa ndiyo nimeonja miaka yangu arobaini '' ni kwamba ''Msije hata sikumoja mkatoa maneno kwa rafiki mmoja na kupeleka kwa rafiki mwingine'' Yani hata kama utayasema kwa mazuri kuna marafiki wanafiki wao wapo kukuchonganisha na Marafiki au rafiki yako aliekukuta nae'' so jiepusheni sana kwa hilo '' msivuke mipaka zingatieni sana  maneno yakusema kwa marafiki wenu 'Yani Mimi mwenzenu nilijifunza na bado nakomaa na kujifunza '' usimuamini rafiki yoyote'' Muamini Mungu peke yake'' Pili Mkiwa marafiki na Rafiki yako wa kike'' Mwanamke kwa mwanamke'' Ikiwa mmoja mme wake au Boyfrind wake kakutaka kimapenzi ''USIMUAMBIE HUYO RAFIKI YAKO KABISA'' WEWE MKATAZE HUYU MWANAUME WAKE'' NA AKIZIDI BASI 'AJUE KUNA KIPINDI ATAKAMATWA MWENYEWE AKIKUTONGOZA'' AND YOU KNOW WHAT WILL HAPPEN'' IS THAT ''ITATEGEMEA NA RAFIKI MWENYEWE''NI HAYO TU ''MENGINE NIKUMUACHIA MUNGU '' KWANI YEYE NDIE HUONA KILA KITU NA VILE VILE MUAMUZI WA KILA KITU'' MY FRIENDS'' MIAKA HII AROBAINI ''NIMEJIFUNZA MENGI SANA''NA NDIYO MAANA NAONA NI VIZURI KUWANONG'ONEENI KIDOGO ILI MKAE MKIJUA''  Jiepusheni na Marafiki wanafiki ,msije mkapoteza Rafiki Wako na Kipenzi chako cha maisha ''sababu ya Rafki mnafiki '''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

5 comments:

  1. HONGERA UMEPITIA MENGI KATIKA MAISHA

    ReplyDelete
  2. Habari yako Da Flora, mimi ni mdogo sana kwako but nimejifunza kitu sana kwa hii story yako ya kutimiza miaka arobaini, zamani nilikua nakuchukulia kijuu juu tu na kukuona ka mtu flani usiyejielewa, but today u prove me wrong, very wrong, umepitia mengi yaliyokufanya uwe imara na jasiri Flora..story yako imenifundisha kutokuhukumu mtu yoyote kwa ubaya, nimejua leo kwamba Flora wewe ni mpiganaji, mwanamke jasiri una hofu ya Mungu una mapenzi kwa wengine..nimekupenda na nitaendelea kukupenda..nitakusuport na kukutetea kwa watakao kusema vibaya..fanya vile unavyotaka as long u are happy...

    ReplyDelete
  3. Am very proud of you my dear. Nakupendaaa bureeeeeeeeee, angekkuwa mtu mwingine hata asingetusimulia mambo ya nyuma, ndo kwanza angerudisha miaka nyuma na kujifanya kazaliwa hukohuko ulaya!!! mfyuuuuuu wanaomchukia Flora washindwe kabisaaaa.

    ReplyDelete
  4. Yaanaai honera florah story yako inasisimua i wish ingesambazwza blog nyingu=ine watu wasome hakika kuna mengi ya kujifunza mazuri toka kwa kwako stay blecs

    ReplyDelete
  5. Nimesoma hadi mwili unanisisimka... tuombee na sie wengine Mungu atuoneshe njia tufikie malengo yetu siku moja.

    ReplyDelete