KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 17 April 2014

BY FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS~ LEO WEMA SEPETU YUPO KWENYE OFISI ZA GLOBAL KUKATA CAKE NA SIYO KUPIGANA NA VIATU ,,MBUTA NANGA''WACHA MOVIE IENDELEE'ONA HAPA 'NA UZINDUZI HUU WA GLOBAL TV ONLINE''


Wema Sepetu na Profesa Jay wakikata utepe kuzindua rasmi Global Tv Online leo ndani ya ofisi za Global Publishers Ltd.
Wema na Prof Jay wakifungua kitambaa kuzindua Global Tv Online.
Wasanii wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo (mwenye suti).Flora Lyimo ana sema''MBUTA NANGA''WACHA KAZI ZIENDELEE'''
Wema Sepetu akimlisha keki Rais wa Bongo Muvi, Steve Nyerere.
Wema, Snura, Shigongo na Dk. Cheni wakichukua msosi katika uzinduzi huo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers wakiwa katika picha ya pamoja na wageni waalikwa.
Crew ya Global TV Online ikiwa katika picha ya pamoja baada ya uzinduzi.
Eric Shigongo akiwa katika picha ya pamoja na wasanii pamoja na wafanyakazi wa Global.
(PICHA ZOTE NA GPL)
Hhahhaaa''Kweli nimefurahi kuwaoneni hivi ''yani mnachekesha sana Ndugu zangu huko Home 'huwa sielewi habari zingine kama ni habari au kama ni Movie'' But all in All'' Mnachekesha sana na Wacha Kazi ziendelee'' Kazi ni muhim sana'' na pia ni njia ya kuishi tukiwa tumejipanga kwa kupunguza Shida badala ya Kuongeza Shida'' 
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

2 comments:

  1. MBUTA HILO WIGI LA WEMA BIG NO ,FL PLZ SAIDIA KUTUMA HATA MOJA KWA MADAM ZAWADI YA EASTER.MBUTA NANGA!

    ReplyDelete
  2. hahhahaaa,MBUTA NANGA'' MWAMBIENI ANITAFUTE ..HAMNA SHIDA NITAMPA KWA BEI POWA SANA''WIG LA KISHUA'''' Anonymous......Usijejiwa mlangoni viatu tu''' but usijali baadae Atakuletea Cake mkate pamoja ya kukupa POLE'''

    ReplyDelete