KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 23 April 2014

BY :FLORA LYIMO ~ CELEBRATIONS OF FLORA LYIMO 40th BIRTHDAY ZIMEANZA'' FIRST DINNER AND DANCE NIGHT OUT ''


SI MCHEZO ETI EEE'' THANK YOU MAMA AND MY GOD''


 THE SEXIST AND BLESSED 40 YEARS OLD TANZANIAN WOMAN IN THE WORLD''
Hiyo ndiyo habari ya Mujini ''KANTANGAZEEE'


 HERE WITH MY ROYAL MODEL''FLORA LYIMO AND HER MAMA'' SHE IS MY EVERYTHING AND THE SEASON WHY IM HERE TODAY '' I LOVE YOU MAMA YANGU'' MUNGU AZIDI KUTUBARIKI NA MIAKA ELFU MAMA YANGU''



 KWA MAPOZI ''LAZIMA NYOKA AWE NA MIGUU ''YANI FLORA LYIMO SHE IS ONE OF THOSE PEOPLE ARE TIYARI KUCHELEWA WANAKOKWENDA LAKINI WAPIGE PICHA''

Haya My dears,,Handbag linauzwa, Gauni na linauzwa, Whatsapp +447787471024.
















Habari ndiyo hiyoo'' Your Flora Lyimo Fashion Police''She is 40 the Today '''mbuta nanga!!
Begi hilo mwaliona lakini ''wewe zubaa zubaa kama hutolivaliwa''
THANKS ALL SO MUCH FOR YOUR LOVE AND SUPPORT'' I LOVE YOU ALL SO MUCH ''
STAY BLESS ALWAYS''xoxooxx
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG' RAHA NI KUJIPA MWENYEWE UKIPEWA POKEA KWA MIKONO MIWILI KAMA YOUR TOP UP 'MARAHAA NI MWAGIKIENI MIEEEE'' MBUTA NANGA''MTOTO WA KICHAGGA -ULAYA'' NARINGAJE IM 40'' HEBU MNIPENI SHIKAMOO ZANGU NOW OOOOYAAAAAA''LALALALAAAAAAAAAA!!!
www.missfbknitwearlyimo.blogspot.com

3 comments:

  1. Happy 40th Birthday ,kweli wewe ni mwanamke wa shoka kabisa,yani hata miaka yako unaanika hadharani huogopi ? wakati huku wanawake wengi wa kitanzania miaka yao ni big thing yani hawasemagi tena hudanganya unakuta mtu anaonekana kabisa yupo 60 years old yeye anasema yupo 30 years old .mbuta nanga'nimekupenda bure bure....

    ReplyDelete
  2. Hongera sana Flora. Unaonekana fresh sana kwa miaka 40. Kwa sasa nimeanza kukuelewa zaidi mwanzo nilifikiri we ni msanii lakini nimegundua we dada ni mkweli na siyo mtu wa kufake maisha yako. Natamani nionane na wewe one day. Kazi zako unazofanya kwa mikono yako zinavutia mno una kipaji kikubwa sana flora. Hongera sana na nakutakia kila la heri katika kazi zako. Nilifurahi kuona kusoma historia yako ulipokuwa mke ya mzungu nilisikitika lakini unajua nini, maybe ilikuwa siyo bahati lakini pia inawezekana ilikuwa mpango wa Mungu wa kukuweka hapo ulipofikia. Naamini ipo siku tu utampata uliyeandikiwa naye.

    ReplyDelete
  3. your the best Dear Mbuta Nanga!happy birthday and more happy returns of the day.Mapenzi mengi kwako.from follower in Dar

    ReplyDelete