KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 17 April 2014

FLORA LYIMO HOW TO LOOK SEXY AT HOME/MBUTA NANGA''PART 1 IN VIDEO''



THIS IS  FLORA LYIMO .  Fashion Designer, Market Trader,Photographer ,Fashion Police and Blogger. Flora Lyimo is Many things..and they all add up to LEGEND ''
Flora Lyimo the LEGEND'' Akifanya yake ' wacha kazi ziendelee'' Any new Matusi are welcome'' The Old Matusi Flora Lyimo ksshayazoea'' Jeshi la Mtu Mmoja linalotingisha Watanzania Flora Lyimo Fashion Police' The voice of the TRUTH ''

7 comments:

  1. Dada angu nakupenda sanakazi butu usonge mbele usiyasikilize maneno ya wambea wasiotaka maendeleo ya wenzao kumbuka mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe

    ReplyDelete
  2. Ongera dada yetu wa kichaga nimeona vitu vyako 5EAT uko juu

    ReplyDelete
  3. Mambo vp dada angu nimeona juhudi zako nimependa sana ,natamani kujuwa mengi sana kutoka kwako.

    ReplyDelete
  4. Nimependa vitu vyako unavyodesign nilikuwa na my dady ameshangaa ,Tanzania kumiliki duka London yaan haijawahi kutokea maana alishakaaga UK Mbowe peke yake ndiyo anamiliki restaurant huko lent unalipaje si itakuwa gharama kubwa yaan unajitahidi sana nakypa credit zako dah. Hongera sana ni mfano wa kuigwa nakupa big up my sister yaan ukija TZ nitafute Mimi naishi DAR tena nije hata kukupokea Airport mbuta nanga!!

    ReplyDelete
  5. Nakuangalia hapa kwenye Mboni show ,you look mwaaaa mrembo.

    ReplyDelete
  6. Nakucheki happa EATV hahhaaaaa, Nimeipenda japo hajakuhoji vizuri tukujue vizuri ila was good ,Mboni haeezi hoji vizuri.

    ReplyDelete
  7. please dada mm nikijana wa kitanzania nina umri wa miaka 23 nipo Tanga Tanzania ,nafanya muziki ila nakosa support hvyo naomba unisikilize then utajua unanisupport vp..Kiukweli dada nahitaji msaada mkubwa sana kutoka kwako ,kama ulivyosikia kazi zangu wakizisikia wasanii wakubwa huenda zikaibiwa kikubwa zaidi na hitaji hata nipewe nafasi ya kucheza kwenye radio hapa Tanzania kwani kwa kufanya hivyo nitakuwa nimrzipa ulinzi na hata Mimi pia watu watanielewa name itakuwa rahisi kupata kupata wadhamini ili niweze kuwa kama wengine.Tatizo radio ili wimbo uchezwe wanataka pesa name mimi uwezo mdogo so WHAT CAN I DO MY DEAR SISTER please help me.

    ReplyDelete