KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 17 May 2014

BY FLORA LYIMO ~ABUBAKA FARAJI ''AJICHUKULIA LIBUNDUKI LA KISHUA KUMLINDA MKE WAKE MREMBO ALOMUOWA JUZI '' HATARII '' MBUTA NANGA!!

 Huyu siyo mwingine ni Super Mtanzania Mchapakazi hapa UK ''Kaamua kujichukulia Libunduki haswaa''kwa ajili ya kumlinda Mke wake Mrembo alie Muowa hivi majuzi '' Mbuta Nanga'' Hatari kwa wale wanaume wanyemeleaji wa Wake za watu''

 My Super Kaka hataki Mchezo kabisa'' CHAMECHA MBEEE'' Hhahahaaa'' 
MR &MRS Faraji ''Huyu ndiyo Mke aka Mpora wetu Mrembo aliesababisha uchukuliwaji wa Bunduki hiyo ya nguvu '' na inasemekana imekubaliwa na vyombo vyote vya Usalama'''maana kujirushia mitandao hivi hivi kweupe''si mchezo '' Habari ndiyo Hiyo'' 
Follow:FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment