KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 17 May 2014

BY FLORA LYIMO ~ MSIBA MZITO HUU ''AMA KWELI KIFO HAKINA HURUMA NA WALA HAKIKUSUBIRI HATA ULICHOPIKA KUKAA CHINI NA KUKILA'' SO SAD'' POLENI SANA WAFIWA ''TUPO PAMOJA!!



Kifo kweli hakina huruma'' Huu Wimbo hapa ni kwajili yetu sisi wote''aisee unatufundisha mengi sana''hasa kujua Kifo kinaweza kukuchukua wakati wowote'' R.I.P. Happy People wote mnaotutangulia Amen''
Adam Kuambiana enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu alfajiri ya kuamkia leo. Marehemu alianguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remy, Dar. Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbo. 

No comments:

Post a Comment