KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 9 June 2014

BY FLORA LYIMO ~ MBUNGE MWINGINE AFANIKIWA KUOWA BAADA YA MBUNGE VICKY KUTAPELIWA KIMAPENZI NA NDOA IKAISHIA KWENYE SHIMO LA TAKA'' MBUTA NANGA''HONGERA SANA MBUNGE KWA KUFANYA KWELI''

Polisi walihusika 'FFU ''Yani hapa ni fanya fujo uone''
Maharusi wakiwa katika gari la wazi huku The Happy Ever Bi'Harusi aka Mpora akipungia watu waliokuwa wamejipanga barabarani Mkono wa Furaha na Asante''
Maharusi waki "Show Love"Mapenzi moto moto live tena hadharaniii' Kupendwa Kihalali kunanogaje'' hajaibiwa Mtu hapaaaa'''hahhahaa'' au kuna SHIDA''
Ulinzi ulikuwepo wa kila aina yake'' huyu Kaka nae naona ndie yule wa FFU'' Yeye ana tembea sambamba na Gari lilombeba Mbunge wao ''hakuna SHIDA'Mbuta Nanga!!
Kila sehemu msafara wa magari ya maharusi ulipopita ,wakazi wa maeneo hayo walionesha furaha zao 'Ona na wengine hata gari hawaogopi kabisa''
Barabarani kulijaa watu wakimshangilia Mbunge wao akijinyakulia Jiko.hataki SHIDA''

Kama kawaida Jasiri haachi asili na muacha asili ni hasidi na hana akili.
Mmbuge wa Arumeru -Mashariki Mhe.Joshua na Mke wake  wakaaga katika viwanja vya Kanisa la Kilenga .
Msafara wa magari ulikuwa ni mrefu  yani palikuwa hapatoshii'' Aisee ama kweli Mungu ni mwema na cha halali ni cha halali tu''cha kuiba ndiyo hakina baraka kamwe''Nadhani mliona MBUNGE VICKY KAMATA'' Na ile Arusi yake aliyotapeliwa'' aka Aliyodaiwa alikuwa anamuiba Mme wa Mtu mwenye Ndoa ya kanisani na Watoto juu'' Mbuta Nanga' 
HONGERENI SANA MAHARUSI NA MBUNGE WETU ANAE FANYA MAMBO YAKE KIHALALI''
PIA ASANTENI SANA WAPEPERUSHA PICHA HIZI'
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment