KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 25 November 2014

WHATS NOW? FLORA LYIMO ATEMBELEA WAFANYAKAZI WAKE AT HER SECOND SHOP TO BE OPEN SOON ''

 BOSSLAO SI MWINGINE NI YULE YULE ANAE MFANYA MAMA BABOON KULAMBA MAGADI YA UPARENI KILA SEKUNDE KWA SABABU YA WIVU WAKE'',,KISA MAENDELEO YA WATANZANIA WENZAKE YANI 'FLORA LYIMO TZUK ''YUPO MBIONI SASA KUFUNGUA DUKA LAKE LA PILI '' SASA IKIWA HILO LIMOJA LIMESHAWAUNGULISHA NA LA PILI MTALAMBA NINI KWA MFANO'' RUWA MANGI''
Sasa tiririka chini na kujionea Baraka zake Mungu anazo mdondoshea Flora Lyimo kwa kila anae mchukia Mungu anamdondoshea Duka moja baada ya Lingine na pamoja na Baraka zingine zingine tele'' na naomba Mungu msife kabisa kabla hamjaziona Baraka za Flora Lyimo zote'' RUWA AIKA MBEE'''




 HILI HAPA NI KANISA LANGU LA KWANZA KUHUDHURIA NILIPOKUJA UK MWAKA 1994 NA HIVI SASA SIAMINI ETI NIMEFUNGUA MADUKA YANGU MAWILI PEMBENI NA HILI KANISA,,YANI SASA NITAKUWA NAWAHI KILA JUMAPILI NA SIKU MWENYEZI MUNGU ALIZONIPA NAFASI NIWEZE KWENDA KUSALI HAPA MAANA NI NYUMA YA HAYA MADUKA NA NAAMINI MUNGU ANA SABABU ZAKE ZA KUNIWEZESHA KUPATA MADUKA HAYO KARIBU NA HILI KANISA LANGU LA KWANZA KUHUDHURIA LONDON '' AMEN''
 CHUKA NAYO HAPA CHINI '' UTAIONA IN FULL''

 THE BOOSLAO ''KAINGIA DUKANI KAKUTA WAFANYAKAZI HAWAPO '' KUPIGA SIM MMOJA KAPOKEA NIKAMUULIZA MPO WAPI ? KAANZA KUCHEKA NA KUSEMA MBUTA NANGA'' Hhahahhahaa''sasa niliwafundisha nini maana ya Mbuta Nanga'' alafu siku izi kila nikiwauliza kitu wanasema Mbuta Nanga''au wakiniona wanasema Mbuta Nanga'' alafu vile ni Wazungu wanavyolitamka utacheka na kufurahi hadi uwaengeze Mshahara''MBUTA NANGA!Kumbe waliniona na wakaenda kujificha'' hahhahaaa'''I LOVE IT''



 HII INA ITWA COMING SOON '' GOD IS GREAT'' AMEN ''RUWA AIKA MBEE''

 HABARI NDIYO HIYOOO''WHEN JESUS SAY ,YES'' NO BODY CAN SAY NO'''.....

 MBUTA NANGA'' BOSSLAO ''AKIINGIA NA WAFANYAKAZI WAKAENDA KUJIFICHA ''HAHHAHHAAA'' WANATAKA FIMBO EEEEE'''

 KWA KUSEMA KWELI YANI SIKU IZI NINA VITU VINGI MNO NA HAPA NIMEPAONA KAMA SIYO PAKUFAA KUUZIA MAVAAZI YA KINA MAMA NA MABEGI NA KILA KITU ''SO NIMEAMUA SASA KUTAFUTA SEHEM KUBWA NA PIA KUIFANYIA BIASHARA ZINGINE KANDO NA FLORA LYIMO TZUK ''ILI NIWEZE KUUZA NA KUFURAHIA MADUKA YANGU VIZURI ZAIDI '' MIMI SIPENDI USUMBUFU NA PIA SIPENDI KUONA VITU VIZURI VIKIUZWA KWA BEI ZA JUU AMBAZO WENGI HUSHINDWA KUVINUNUA'', KWA HIYO HAPA SASA NATAKA KUPAFANYIA MAVAAZI YA KIUME '' YANI SASA NI BIASHARA KWA KWENDA MBELE''
 MUNGU NI MWEMA MNO '' YANI HAKUNA ULIMUOMBALO AKACHA KUKUPA''SO MSICHOKE KUMUOMBA MUNGU MY DEARS''
PICHA HIZI NIMEZIPIGA JIONI BAADA YA KUZIMA TAA,SO HUWEZI KUONA HUKO NDANI 'HABARI NDIYO HIYOOOOOOOOOOO'' FLORA LYIMO TZUK ''THE ONLY BLACK AFRICA WOMEN TO OWN A SHOP AT OXFORD STREET LONDON '' YANI NDIYO HABARI YA MUJINI NA HATA MASHAMBANI ''' MBUTA NANGA!!

4 comments:

  1. Hongera mtani wangu...yaan hili duka la kitalii ndio mtaa wapili wanasema unauza makorokoro?? akili mgando na wao ndio wanauza matakataka aibu yao...uko juu mtani mwaaaaa!!!!!

    ReplyDelete
  2. Mambo flora ubarikiwe!!yule bi chau site anayonunua nguo cheap nakupeleka bongo inaitwa www.verragee clothing!ameenda kuwagonga. Wabongo malaki wakiti nguo za dola20 20$ xxhubu please chukua some. Of dresses anika kwenye. Blog yako. Kwabei naffuu!!mchAwi yule

    ReplyDelete
  3. I just love you and hope to see you soon, Mbuta Nanga!

    ReplyDelete
  4. Flo.......hawakujui ''na ndio maana Mungu kakupa ili wakujue ..MBUTA NANGA!!

    ReplyDelete