KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 14 February 2015

WHATS NOW ? HAPPY VALENTINES DAY MY FANS MY FOLLOWERS MY FAMILY'S AND KILA MTU ANAE NIKUBALI NA KUJIKUBALI '' BE ROMANTIC ,WORK HARD SUCCESSFUL IS SEXY 'MBUTA NANGA!


 HABARI NDIYO HIYOOO'' TUNA MSHINDI ALIE JISHINDIA LAKI MOJA TZSH..KWA KUCHAGUA HUU WIMBO WA VALENTINE BY MZEE YUSUF'' KULE INSTAGRAM'' NADHANI ANAJIJUA SO wasiliana na mimi on +44 7787471024 whatsapp '' au pia nitafute instagram'' HONGERA NA HAPPY VALENTINE'S DAY'' ENJOY THE SONG MY DEARS'' MBUTA NANGA'' NDIYO MPANGO MZIMA WA FLORA LYIMO HOW TO LOOK SEXY AT HOME''



BE HAPPY WITH YOURSELF AND NOT WITH ANYONE ''I JUST LOVE MY LIFE AND LOVE THE IDEA OF SEXY UNDIES AND LOOK SEXY KIUJUMLA'' HASA AT HOME 'YOU KNOW HOME IS WHERE YOUR LIFE IS '' 
WORK AND WORK HARD'' I ALWAYS AMINI KWAMBA MWANAMKE NI MUHIM SANA KUWA NA KAZI NA PESA ZAKE'' 
SO BOYS ''ARE SUCCESSFUL WOMEN A TURN -OFF ? MBUTA NANGA''
Tiririkeni mkiweza'' 
Yani Flora Lyimo mtamuogopa sana lakini I dont think that nikiwa na mijihela yani niwe successful nitashindwa kuwa Romantic na kumpa mapenzi ya dati anipendae kwa dati ''Only i can say that sipendi upuuzi na mwanaume mpuuzi yani akija anakuwa kesha nisoma hasa vile navyopenda Ukweli ''yani my life is always in public and in the way of the truth about Flora Lyimo the Tanzanian in UK ''anae ishi London for more than 20 years bila kuipinga Nchi yake na anae jivunia Nchi yake kupita maelezo '' so be it 'Hata kama huna kitu you can have Love and know that nothing will ever stop you of showing your love and give your love to who love you back '' Siyo unapenda asie kupenda na wala asie kuthamini'' 
HAPPY VALENTI'S DAY MY DEARS'' BE YOU AND BE ROMANTIC'' 
Follow me live at Instagram> mbutanangablog

No comments:

Post a Comment