KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 14 February 2015

WHATS NOW ? VALENTINES DAY '' HOT TOPIC'' TANZANIA SUPER STAR AND FLORA LYIMO 100 ROMANTIC TANZANIAN WOMEN LADY JAY DEE'' AKOMESHA WATU KWA KUWAAMBIA UKWELI KUHUSU NDOA YAKE'' KASEMA'' HATUJAACHANA NILIAMUA KUMUACHA''' MBUTA NANGA!!

THE FLORA LYIMO ONE OF THE 100 ROMANTIC TANZANIAN WOMAN/LADIES '
LADY JAY DEE ' AWAKOMESHA WASEMAYO WASOYAJUA''

Kina mlango mweusi namba kumi''
HAPA NDIO UTAJUA HII NDOA ILIKUWA YA AINA GANI '' SASA UMEONA PICHA'' SOMA MAENO YAKE MWENYEWE '' THE SUPER STAR 'LADY JAY DEE''ALIRUSHA HAYA INSTAGRAM ''
WATU WA MLANGO MWEUSI NAMBA KUMI> Tunasikia umeachana na Mume ni kweli au uzushi ?
LADY JAY DEE > Hatuja achana niliamua kumuacha'
WATU WA MLANGO MWEUSI NAMBA KUMI > Kwanini umeachana/umemuacha mume ?
LADY JAY DEE> Nimemuacha kutokana na kuwa Ndoa inatakiwa iwe na maelewano ,Furaha,Amani na Upendo .Ila kwa bahati mbaya vyote hivyo havikuwepo ,sikuwa tayari kuendelea kuishi kwa maumivu huku niki pretend ili kuiridhisha Jamii.
WATU WA MLANGO MWEUSI  NAMBA KUMI > Huoni kama umejishushia Heshima kuachana na mume?
LADY JAY DEE> Sioni hivyo ,Ila naona nilikuwa najishushia heshma zaidi kuishi na mume asie na HESHMA''


MIMI HILO JICHO LA HUYU MWANAUME NALIOGOPAAAA'' HATAREEE''MBUTA NANGA'' KIUKWELI NINGEKAA NAE CHUMBANI SIKU MOJA''MBONA ANGEJUTAAA''MBUTA NANGA''
BAHATI YAKO KAKA UNAICHEZEA EEE''WENZIO WANAISUBIRIJE MLANGO MWEUSI NAMBA KUMI ? YANI ''KIUFUPI '' KINA KAKA'S JUENI SASA SUPER STAR LADY JAY DEE''YUPO SINGO'Z'''' TUMENI CV ''HAHAHA'' HAPPY VALENTINE'S DAY '' WANAKUJA NA WANAONDOKA'' YOTE NI MAISHA''
Mume asie na Heshma ,anaeweza kutongoza na kushika Wanawake makalio wakati Mimi niko jukwaani naimba. MBUTA NANGA!
Kuwapa Madem Magari yangu waendeshe na kuyagonga wakati niko safarini .Ushahidi ninao ....niliwahi mkuta anawashika mapaja na akakiri kosa .Bado kupigana na kuwatusi wateja pia. Kifupi ilikuwa ni NDOA YA MATESO.
WATU WA MLANGO MWEUSI NAMBA KUMI > Bado unategemea kuolewa tena ?

LADY JAY DEE> Ni mapema kujihakikishia uolewaji mwingine,ila haimanishi kuwa sitopenda tena.Nahitaji kuwa makini zaidi kuchagua mtu sahihi wa kumpa moyo wangu.
WATU WA MLANGO MWEUSI NAMBA KUMI > Kwanini usirudiane na Mumeo ?
LADY JAY DEE> Siwezi kurudi nyuma tena,huwa nina misimamo thabiti.Mpaka kuamua kuondoka na uvumilivu nilionao mjue ni maji ya shingo .When I say never ,I mean NEVER ''
WATU WA MLANGO MWEUSI NAMBA KUMI > Uliwezaje kuishi na mume mlevi ?
LADY JAY DEE>Nilipo amua kuwa na iwe basi ,Nilitoka bila kubeba kitu .Nikasafiri kwenda USA,nikaka huko mwezi mzima ku refresh na  kujipima kama kweli nitaweza ku move on ? Niliporudi Tanzania sikukanyaga tena Nyumbani ,mpaka muda huu mnapo type na ku post haya majibu.
Kwa kifupi ni kuwa niliondoka bila kuaga,sikuona sababu ya kuaga.
FLORA LYIMO /MBUTA NANGA''
NDUGU ZANGU WATANZANIA WENZANGU ''
Nimeona niyaandike kwa upelelezi na ubora zaidi ili muweze kusoma na kuelewa zaidi '' Kwani jamani huu NI UJUMBE MZITO NA WA KUJIVUNIA KWA MWANAMKE MDADA MWENYE MALI YAKE ANAE JIAMINI ANAE FANYA KAZI KWA BIDII'' KUWEZA KUACHIA MCHUMA NA KUUTUPILIA MBALI '' Yani I can say I AM SO PROUD OF HER '' AND NAWAOMBA SANA WANAWAKE WENZANGU HASA MLIO OLEWA MSIO NA KAZI MNATEGEMEA MUME '' ACHIENI MCHUMA TUPENI KULE ''MSIOGOPE YANI BORA HATA UKALALE CHINI KWA ZIZI LA MBUZI KWA BABU AU BIBI AU MAMA YAKO ''ILI UWEZE KUANZA UPYA MAISHA YAKO KWA KUFANYA KAZI NA UWEZE KUJITEGEMEA WEWE MWENYEWE '' ILI HATA MWANAUME WAKUTOKUKUHESHIM KWA KUTONGOZA WANAWAKE NA KUWASHIKA SHIKA MATAKO '' ASIKUZARAU HIVYO'' AJUE AKITELEZA TU''ANAANGUKA'' KUDADADEKI ''NAWACHUKIA SANA WANAUME WA AINA HII''
LADIES 'BE ROMANTIC WORK HARD AND HAVE YOUR OWN LIFE''
Na WEWE UNAJIJUA SIJUI MUKE YA MUZUNGU KUMAMAMBI MY GORGEOUS BLACK ASS'' ASHIA NGAZI MME ANAKUTESA NA MTOTO WAKO WA MWAFRICA''UTAKONDA NA KUBAKIA MIFUPA KISHA UNAOGOPA UTACHEKWA NA KINA SIE '' WACHA TUKUCHEKE MAANA ULIDHANI WEWE NDIO WEWE WAKUTUKANA WATU HADI KUWAFANANISHA NA WANYAMA'' JUA HIZO NI LAANA '' WALA SIYO WAKUPEWA POLE WEWE'' SASA WACHA YA OUR SUPER STAR LADY JAY DEE'' UNA WEZAJE KUYAFANANISHA NA WANAWAKE WA DAR ? HIVI WANAWAKE WA DAR MAANA YAKE NDIYO NINI ? INA MAANA HUJIONI WEWE MME KESHAKUKIMBIA BADO UPO NA KUPIGA VIPICHA BILA HATA PETE KWA KUJISAHAU ''CAMERA IMEKUUMBUAJE'' MBUTA NANGA'' ANYWAY ''KONDA SANA TU'' SIUNAZIBA MABOVU EEEEE'''TUNAYAJUAAAA'''
BE BLESSED ALWAYS''

No comments:

Post a Comment