KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 9 August 2015

WHATS NOW ? FORA LYIMO HOW TO LOOK SEXY AT HOME'' TODAY WACHA NI WAAMBIE KIDOGO KUHUSU LOVE'' THE WAY I UNDERSTAND IT'' LOVE IS A DANGEROUS WORD 'MBUTA NANGA'





R.I.P. MY DEAR 'YANI SITOKAA NIKUSAHAU '' I WISH UNGEJISTUKIA NA KUTUPILIA MBALI MARAFIKI ULOKUWA NAO WAKARIBU AMBAO HAWAKUWA NA LENGO LA KUKUONA UKIWA NA MAFANIKIWA BUT '' KUKUONA UKIWA KAMA WAO 'BILA MAFANIKIO'' MY DEARS WATANZANIA WENZANGU' JISTUKIENI NA JIEPUSHENI NA MARAFIKI HASA WA MUJINI UNAOKUTANA NAO KIMUJINI TENA KWA BAHATI MBAYA'' #RUWA MANGI'' BORA UWE PEKE YAKO NA MUNGU WAKO NA NDUGU ULOZALIWA NAO'' HASA YOUR MAMA BABA,NA FAMILIA YAKO IKIWA PIA UMEOLEWA '' NA PIA ZINGATIA ONLY IKIWA PIA WANA MAPENZI NA WEWE''


 HAHHAHAHAHHAA''AISEE SIYO MWINGINE NI YULE YULE FLORA LYIMO AKA MBUTA NANGA THE ONLY ONE IN THE WORLD'' SASA BASI '' Mwajua nini '' hapa Duniani tuna pita na ikiwa una pitwa badala ya kupita anza kujiuliza kwanini una pitwa badala ya kupita'' MIMI NA PITA NIPISHENI MIE SITAKI KUPITWAAA''' RUWA MANGI'' AIKA MBEE''














 NAVYA PENDA KURUSHA KAMGUU KANGU JUU'' YANI HUWEZI KUJUA HATA KAMA VINA UMA'' I JUST LOVE IT '' I LOVE TO DO WHAT MAKE ME HAPPY'' AND THIS IS ONE OF THEM''








MAISHA YANGU NA YESU '' YANI I KNOW MAPENZI YANGU NA MUNGU '' SO WEWE AMBAE HUJAJIUMBA WALA KUNIUMBA HUWEZI KUNIAMBIA HILI WALA LILE' BUT YES'' UNA WEZA KUNIAMBIA YOU LOVE ME OR YOU HATE ME'' HIYO NI KAWAIDA KWA SABABU ..NI MANENO TU''
JUST LOVE LOVE'' LOVE IS A DANGEROUS WORD'
Love does NOT exist.Love is neno tu''a word..Love is concept .Love has attached to it every memory ,Idea,Image we have associated with it since we first head the word'' yani tangu uanze kusikia hili neno Love'' Lika kuingia akilini na kuanza kulitumia'' je '' LEO KUNA MTU KAKUAMBIA I LOVE YOU OR UMEMUAMBIA MTU YOU LOVE HE OR HER ? ''And is that just Today ? or ni kitu ambacho una kitumia mara kwa mara? Je'' wewe una jua LOVE ni kitu gani ? and how you use it '' hicho kitu love'' #NGACHOKA'' I AGREE ..LOVE IS A WORD'' na bora matendo kuliko maneno''
HAVE JUMAPILI NJEMA MY DEARS'' BE BLESS ALWAYS'' NA WACHENI WATU WAISHI NA WAFANYE WAPENDAVYO '' IKIWA HAWAVUNJI SHERIA WALA KUUMIZA MTU''
Tutaendelea na LOVE IS A DANGEROUS WORD'' hapo baadae''

3 comments:

  1. doesn't matter what you are doing! bila unafiki kusema kweli umependeza sana vile umenyoa nywele umekuwa mcharo big up

    ReplyDelete
  2. ASANTE MY DEAR ..BE BLESSED NA KARIBU TENA...........Eti nimekuwa mcharo ..siyo mchare.? mbuta nangga'

    ReplyDelete
  3. mh pose za kichaaga

    ReplyDelete