KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 3 May 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * PATA VIATU HIVI NA VINGINE VINGI IN SNAP SALON & ACCOSSORIES ALL BY FLORA LYIMO CLASSIC TRADE" IM NOW GIVING YOU A PERSONAL SHOPPER TO SAVE YOU TIME MONEY AND STRESS. IKIWA NI HARUSI YAKO SOON INGIA HAPA NISOME NA NITAFUTE" 0778 747 1024" TAFADHALI NISOMENI KWA MAKINI" ASANTENI NA KARIBUNI SANA!!!

















Miss FB Flora Lyimo The Fashion Trader ,Fashion Police and yes THE GET UP AND GO GO GIRL"











SO MY DEARS " HASA TANZANIANS BAADA YA BIRTHDAY YANGU KUMALIZIKA MWAKA HUU 2012" NIMEAMUA CHA KUFANYA NA MAISHA YANGU "
SO THIS IS ME TODAY " 03/05/2012. I HAVE BE COME THE PERSON I WILL LOVE TO BE AND TO DO WHAT I LOVE TO DO ALSO DID IT BEFORE FOR 7 GOOD YEARS"

Now then " WHO I AM TODAY  AND WHAT IS MY PROFFESSIONAL?

OK" Today Im Flora Lyimo Designer & a Trader"

What I Trade " I Trade in Classic Accossories zikiwepo Designer mbali mbali Also I design and Hand-knit /Crochet many things for you and your home"

My FreeTime ,I do Personal Shopper & Miss FB Fashion Police"

Why in my Free time I deside to do hivyo vitu" Ni kwamba napenda sana kusoma magazeti  ,Fashion magazine na ninapo ona vile Watu hasa Wazungu na wenzetu Weusi wa nnchi zingine  wanavyopenda kuvaa na kujiweka kwenye mistari ya mbele na huku nikitizama Watanzania wenzangu hasa Kimavaazi wapo nyuma sana na wengi kwenda kwenye shughuli za watu Kuchafua kwa wrong dress code wanazoambiwa wavae na wanazarau .. Kwa mfano mtu unaambiwa dress code ni kijani ...wewe una vaa blue( bluu) ..maana yake ni kujizarau na kutokumheshim mwenzio kwa wito wake,yeye hataki kingine ila hicho tu .kufika na dress code yako itamfanya awe na furaha kuliko zawadi yoyote ungempelekea. Ingelifaa usiende kama huwezi kulitimiza hilo" Mbuta Nanga!! Aminia maana MMEONA MY BIRTHDAY PARTY 28/4/2012. angalia vile watu wangu walivyofika na dress code zao...SIYO LAZIMA KIJANI KIFANANE..NI LAZIMA KIJANI KIITWE KIJANI HATA KAMA KIMEKOLEA AU KUPAUKA. kwani za kufanana ni zile watu wamenunua kitambaa na kukishonesha ,lakini hawajanunua vitambaa (PAMOJA) wamenunua nguo za madesigner mbali mbali ,hivyo basi haziwezi kufanana" lakini ni KIJANI NA NI DRESS CODE ILOOMBWA WATU WAVAE"

Why now pia nafanya Personal shopper ? I did it before and when Customer use to come to me for help with what they are not sure with ..yani wana Harusi ,Meetings ,dinners na hawajui wavae nini ,basi mimi nilikuwa  na waambia wanipe namba zao za sim na wa book in for the next day au siku ambayo wao wenyewe wana nafasi ..hapo hapa naandika wanavyo penda,hasa Rangi  size zao na muhim SHUGHULI AMBAYO WANAHUDHURIA( OCCASIONWEAR) Na wanapokuja wanakuta nishawaandalia vitu vyote na kilishobakia nikupimisha zote mpaka nimkamilishie VAAZI LAKE" It is all up to your money pia. jua how much you want to spend" NI MUHIM SANA" usiende Prada  wakati wewe ni wa primark" You need to let me know everything about your (occasion and how much you want to spend and what you like and you dont like" IN MAVAAZI"

"HII NI MUHIM SANA KATIKA MAISHA YETU SISI KINA DADA"
Harusi " so let me niwaambieni machache kuhusu harusi na kama ni harusi yako soon nitafute "
Mwanzo kabisa fikiria ni wapi ungependa KURUSHIA HELA ZAKO ZOTE" kama ni kwenye vinywaji ( fanya kama mimi juzi) Mliona mapombe yangu (ALCOHOLS ) hela zangu nilizirusha kwenye vinywaji" asikudanganye mtu ,ni muhim sana katika shughuli zako kukuwepo kitu kimoja kitakashoifanya hiyo shughuli kusimama na kila mtu kuiongelea" Nice nice top in town "
 Anyway back to our wedding things" Utakapo amua ni wapi ungependelea kurusha hela zako basi zingatia na hakikisha umefanya kweli " kama ni nywele, viatu ,nguo ,vyakula, vinywaji holini (ukumbini) anything "  NI Muhim sana hapo "pazingatie sana" BILA KUSAHAU DRESS CODE:

So mimi nitafanya kazi ya kukutafutia CLASSIC ACCESSORIES ( Wear classic things which feel good and look good" Hasa on you " na nitakuchaji hela ndogo tu" yakuendana na mfuko wako na vile vile kukusaidia kidada au kimtanzania mwenzangu on her big day .AMINIA"
Picha pia ni muhim sana na najua kupiga picha na ninapozipiga picha zangu sipigi tu ili mradi No" napiga nikijua napiga nini na umekaaje na ungetakiwa ukaeje au niseme USIMAMEJE!! SO nitafute kwenye hilo pia"

SO YOU ARE PRINCESS FOR A DAY "

Gorgeous, You are" Everyone has days when they dont feel great about themselves, but the last thing you dont want to do is on your big day not to feel good ,zingatia not to let any negative anyone take over in the run -up to your wedding . You are a speacial person and you will look BEAUTIFUL on your BIG DAY  JUST BELIEVE IT!

DESIGNS ON YOU " THAT GORGEOUS DRESS AND SHOES"
Finding the right wedding dress is a daunting prospect.bila kusahau kiatu , The sheer choice of dress can bring evern the most balanced girl out in a sweat ,so take your time  flick through lots of magazines and go to the shops na hakikisha umekwenda na mtu anayejua whats up in fashion "

Now Im here for you .Flora Lyimo Personal shopper just for you book anytime to SAVE YOU TIME MONEY AND STRESS " Tell 0778 747 1024 Email: flo1974@btinternet.com
You are all welcome" Karibuni sana"



No comments:

Post a Comment