KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 10 May 2013

DIAMOND ALIWA DENDA KILAZIMA JUKWAANI, NI KWENYE SHOW YAKE YA-UK READING 05.05.2013 'ONA PICHA PIA" MBUTA NANGA!!

MBUTA NANGA!!!!!!!



10 May 2013 at 02:16 |   

huyo dadabanaitwa ummy mbona alilala nae daimond mpk asubui dada yke ndo kalala na dancer '

SASA HII(Hiyo comment apo juu) NIMEIKUTA HUKO KWNYE MABLOGS MENGINE KWA MAPITO PITO YANGU' JE HUYU NDO KWELI WANAE MSEMEA HIVI?''MAANA MIMI SIMJUI AU SIWAFAHAM 'NILIMUONA HUYO DEM AKIWA NA V' ALAFU NILIPOSALIMIANA NA V'NIKAONA KIUSTAARABU SIWEZI KUSALIMIANA NA ALONAE ALAFU YEYE NI MUACHE,NDO NIKAMPA MAMBO VIPI'AKANIANGALIA VIBAYA NA KUENDELEA NA SAFARI ZAKE'
Kumbe alikuwa na mawivu yakufa mtu anadhani yeye ndo wakuwalamba na kuwanyonya denda wanaume wote waliohudhuria Diamond show''mbuta nanga'sasa ona haya yote ni yanini''mimi nilikuwepo kwa pesa zangu na kikazi zangu zaidi  na nikipanda majukwani huwa na pandisha mapesa alafu ndo na mwanga viungo vyangu naondoka''sasa wengine ndo basiiiiiiiiiii wamefika kwa kumla denda asiyetaka''habari ndo hiyoo,fanyeni kazi kina Mama/Dada'wanaume mtawategemea mpaka lini na kuwa so cheap? Mwisho wa siku nikujidalilisha nyie wenyewe na siyo wanaume hao''ila akikufuta wewe na kukutaka kwa Nguvu ningemzibuaje makofu ,mangumi na mateke huyo mwanaume hata awe na kifua cha chuma'ila kwa sababu nyie ndo mnajipeleka na mpaka mnarecodiwa ndo makosa yenu nyie wenyewe na siyo ya wanaume hao' usimpende asokupenda' hasa pale ambapo hajatulia kwenye mapenzi ya Mwanamke mmmoja' mbuta nanga''FLFP"

1 comment:

  1. MBUTA NANGA,,,,weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeweraaaaaaaaaaaaaaaaa''' mlimkosa jana eeeee'''

    ReplyDelete