KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 17 June 2013

BY FLORA LYIMO~ ILIFIKA TIME YA MPIGA PICHA KUPIGWA PICHA'' MAPOZI YAKE UNAWEZA KUIGA NI BUREE'MBUTA NANGA!!


 Bless you Mr &Mrs!!
 Penye Mastar lazima pawe na Mkeka mwekundu hata nusu mita'Mbuta Nanga"

 Aisee mwakiona Kiatu ee'' ndo mambo ya Amani na Heshima kwenye Ubinadam' hasa kuinuana kwenye Biashara zaidi'Kiatu hichi ni cha Star Madonna'' nani asomfaham kwa Nyimbo zake moto moto na Michezo yake bila kusahau mavaazi yake''Chezea Tops in Town "


 Flora Lyimo Fashion Police 'ndo huyoo yani lazima awaonyeshe huu mtindo wake mpya wakucheza Taarabu''Iga usiogope kabisaa Ila chunga usijevunja kiuno chako bure!!

 Hapa nilikuwa najiandaa kurusha teke kama kawa yangu 'hahhaaa' yani usiombe ukuwepo karibu '
 Hii carpet yao ilinikinaishaje ''sijaipenda kabisa naona ni chafu na inazidi kuharibia watu Viatu vyao''Boss unanisoma eee"



 Hhahahaa kutizama na kuiga ni bure 'jamani mwaangalie huyo Mama hapo anavyonishangaa 'mbuta nanga'
 Hahhahaaa Wamekubali Unawaona wanavyoshekelea ee yani Flora Lyimo ni Mkali wa Wakaliiiiiiiiii" chezea Mpiga picha msafi na alojiamini wewe ukihitaji kupigiwa picha kwenye shuhuli zako kwa bei powa 'ingiza namba hizi kwenye sim yako na piga anytime +44 (0) 7787471024"
 Flora Lyimo Fashion Police 'a.k.a. Muke ya African King" nimependeza eee''Fyonza nikusikiee"
 Hahhahahaa sasa ndo wamemkamilishia Mchagga siku yake ''Chezea Mchagga na Pombe yani pata ile kitu Roho yako inapendaa"
 HapoooooooooooooooooChezea Majivu Moto ukuchome wewe ota Moto joto likikuzidi Kaogeee"
Hhahahaaaa Flora Lyimo mwanamke najiaminije''Chupa nzima nilipewa mie'chezea mzinga huo 'na watu walinipendaje hum'' I love nyie watu wangu wa kina Salsa' More photos to come of Salsa Dance ndani ya hii Harusi ya kwanza kupiga picha mwezi huu wa sita'Anyway hope you are Enjoying this Blog and don't forget to FOLLOW THIS BLOG!!

No comments:

Post a Comment