KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 12 August 2013

BY :FLORA LYIMO~ MBUTA NANGA''MAJANGAA'' MANGE KIMAMBI a.k.a. BONGOLICIOUS ''V'' JESTINA GEORGE a.k.a. ZURII FASHION &BEAUTY BOUTIQUE'' WAFUNULIANA KUIGANA BIASHARA ZAO !!! WHO COPYING WHO ?? SEMENI YENU "

FLORA LYIMO MTANZANIA HALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''

KWA KUSEMA KWELI MDAU 'KAMA ULIVYO NIOMBA NIKUWEKEE MAJANGA HAYA NA VILE VILE NISIKUTAJE'' YANI UNABAHATI SIKUKUTAJA HAPA KWASABABU NIMEKWENDA KUWACHUNGULIA WAHUSIKA WOTE NA KWELI NIKAKUTANA NA UNAYOSEMA NI YA UKWELI ''' KWA HIYO NIMEKUWEKEA KWA MAANA MIMI MWENYEWE BADO SIJAELEWA ''WACHA NA WENGINE WANIELEWESHE '' NA NINACHOKIOMBA NDUGU ZANGU WATANZANIA NCHI YETU IMESHAJIAIBISHA VYAKUTOSHA''TUPENDANENI NA TUJARIBU KUISAFISHA NCHI YETU KUTOKA KWENYE  MAAIBU NA KUIJENGA KWA UPENDO ZAIDI'' MAANA IKIWA SISI WENYEWE HATUPENDANI HIVI KWA VITU VYA BIASHARA NA VYENYE KUHITAJI KULETA MAFANIKIO NA KUINUA UCHUMI WA NCHI YETU ''ATAKUWA MTU WA NNJE(MZUNGU ) AU YEYETE ANAEPENDA KU INVEST IN TANZANIA?  TUJIULIZENI HILO SWALI ''JE NI KINA NANI WATAFANYA HIVYO ? IKIWA SISI WENYEWE KILA SIKU NI MIGOGORO ISOKUWA NA MAFANIKIO YOYOTE' SI NDIYO MAANA TWAANZA KUWAMWAGIA TINDIKALI HADI WAGENI WATALII WETU ?ONA SASA LAANA TULIZO LAANIWA'' NA HII NI BAADA YETU SISI WENYEWE KWA WENYEWE KUMWAGIANA MATINDIKALI BILA SABABU ZOZOTE ''BUT ZA HATERS'' JAMANI MIMI NAOMBA HIVI ''TUPENDANENI NA KUSHIRIKIANA HASA KUSAIDIANA ZAIDI'' KWANI HIVYO TUTAPUNGUZA WIZI NA UJAMBAZI  ''NA NJAA NCHINI MOJA KWA MOJA'' RUWA  MANGI''


KUTOKA KWA MANGE KIMAMBI BLOG''a.k.a MAC ZA BONGOLICIOUS '
Mama Kenzo leo nimechukia kwa kweli. Huyu dada ana wivu gani na wewe.
Eti umeweka tangazo la kuleta Mac Dar baada ya masaa matatu na yeye kaweka tangazo la Mac.
Alafu  anakusema vibaya sasa kwanini akucopy wakati anajifanya hana time na wewe?msxiiiiiiiiii.Nimechukia kweli leo.

Hehehe Mdau...calm down oooooooh....
uwii mnajua pande hizi ndo tunaamka eeh, so nimeamka nakutana nahii email na messages na comments kwa blog watu
wanalalamika about this AD....Guys, listen to me carefully.....
Mimi sinaga kabisaaa hayo mambo ya kishamba sijui nani cani copy sijui kani copy, Im a trendsetter, im an icon in my own way, i insipire alot of people.
It will be stupid and selfish  of me to expect people wani copy kununua CL, kununua Obagi, mashauzi etc alafu nisitake wani copy biashara....
Kwanini nitake watu wani copy vitu visivyo na maendeleo ila wasini copy vilivyo na maendeleo tu? infact i respect wale wanao nicopy vitu vya maendeleo kama biashara etc kuliko
wanaoni copy mashauzi, CL, ETC Those wont get you anywhere really......
Besides I'm a very very strong believer of destiny.....Kila mtu ana destiny nae keshaandikiwa na mwenyezi Mungu.
Kama umepangiwa kuwa successful you will be successful even without working too hard kama kina Mange you will get there, maana unaweza kutembea barabarani na ndala zao ukakutana na Bill Gates akakupenda
kesho yake huyo umetoka.....na unaweza kuwa hardworking balaaaaa na usiambulie kitu zaidi ya pesa ya kula.... I know so many hardworking women, toka nipo shule wana work hard, mpaka leo hii wana work hard
and still bado wana struggle na maisha..... Na kuna walioanza biashara juzi tu leo washatoka....It's destiny...
So hata uuze kila kitu anachouza Mange Kimambi for as long as you are not Mange kimambi utagonga mwamba tu.......Na Mange kimambi hata niuze kila kitu anachouza
Mwanahamisi eti sababu Mwanahamisi kafanikiwa kama sio rizki yangu ntagonga mwamba tu.....
Wengi wamevamia hii biashara ya kupeleka nguo bongo sababu wamedata vile wanavyoona watu wanajaaaa mpaka mtaa unafungwa wakati wa Bongolicious in Bongo, ila
they don't know this mwisho wa siku Bongolicious in Bongo iko vile sababu ya Mange Kimambi mwenyewe ni rizki yangu mwenyewe mwenyezi Mungu kaniandikia.....
Like i always say tunaweza kukaa gengeni you and me wote tunauza nyanya wewe ukauza moja mie nikauza 100....Ni rizki tu......
So ukijiskia kugeza kitu nachofanya mimi please feel free wapenzi wangu, sina time wala ushamba wa ooooh flani kanigeza ,flani kanifanya nini infact mie naona kama challenge ya kufanya mambo makubwa zaidi
ambayo watu hawatoweza kugeza.....maana watu wanaokuwa very successful ni sababu strategies zao cannot be easily duplicated...Hizi za kwangu zinazoweza kuwa duplicated na kila mtu ndo zinazonipa changamoto kuwa
I have to work harder and harder... Besides I'm not the first person kupeleka Mac bongo Im sure kuna mtu akiamua kuibuka nae kusema Mange kanicopy wataibuka wengi mno....lol....
Kama mnakumbuka just a few months mie mweneywe i was under attack na madesigner wa bongo kuwa nawa copy kazi zao, wengine mpaka wakadai nacopy slogan zao. Slogan indefu kama paragraph sijapata kuona
ila still mtu aliumia akasema anacopiwa.... I don't want to be like those peopl.e.... So next time ukiona mtu kafanya kitu like this muombeeni tu afanikiwe coz mwisho ya siku mkimuombea vibaya Mungu ndo kwanza atampa....lol..

PS: Ila huwa nashangaa sana watu wanaonichukua ndo wanafanya vitu navyofanya kushinda hata my fans.....Hivi ni kwanini????Sasa kwanini wananichukua si wakubali tu hawanichukiii...hehehhhehehhehe
Photo: Original MAC Foundations & Powders (Studio Fix) available at Zurii Boutique Sinza Legho. Only Few available so hurry now while stock lasts. #mac #macpowder #macfoundation #studiofix

KUTOKA KWA JESTINA GEORGE 'a.k.a. MAMA IMANI 'a.k.a.MUKE YA MERU''
Original MAC Foundations & Powders (Studio Fix) available at Zurii Boutique Sinza Legho. Only Few available so hurry now while stock lasts. 
KUTOKA KWA MDAU ALOKUAZIKA''
Flora natumaini hujambo'' wewe kwa kuwa nimsema kweli wetu naomba uturushie hii kwa blog yako na this time usiniangushe pleas'' 
Sasa huyu Mange Kimambi pamoja nakusema hajali Watu to copy her biashara ni kwanini kaipost kwenye Blog yake?? Anawezaje kusema kwamba Jestina George kamuiga? kwani yeye ndo wakwanza kuanzisha Biashara Tanzania?? amefutafuta lakini habari ipo wazi kwenye Zurii Boutique Page'' Nimechukia sana Flora kuona zile comments za Anonymous anazoachia kwenye blog yake''Hebu ingia ukazisome'' kweli Hana Akili na hata huyo Betina wake''' Kwanini wasiku copy wewe Flora Lyimo na Mkopo wako Express unatusaidia sis wa bongo tena hutujui hata hatujawahi kuonana lakini unatujali na kutupa mikoba yako kibiashara zaidi tena  bila hata kujali watu kukurusha?'' wakuige basi watoe mikopo ya hizo MAC za bure ili tujue wanajali' kama wewe BOSS letu''maduka yenyewe bongo wanayosema wamefungua yamekuwa kama mijengo ya zamani kubakia kutizamwa bila hata ununuzi 'utazania yapo kwa maonyesho''hawana lolote Flora Lyimo you are our no one INSPIRATION TANZANIA LADY'' wakuige wafe''mbuta nanga' hahahaaa''

8 comments:

  1. Biashara imani, biashara ushindani, Betina kila cku anatangaza manguo mbona Mange hakusema kamuiga kuuza nguo, wala hapo hakusema kamuiga swala linakuja alikuwa wapi kutangaza hizo MAC mpaka kuamuona Mange katangaza ndio naye kaweka, mnavyomchukia mtu ndio Mungu anambariki Mange anawateja wake hata auze nini watatnunua tuu.

    ReplyDelete
  2. Kaiga kweli huyo Jestina asiambiwe? Alikuwa wapi kutangaza hizo product za Mac? Mfyuuuuuuuuuu ..yaani mange kila anachoshika kinakuwa dhahabu..... Love her kwa kweli!

    ReplyDelete
  3. Jamani hivi kwanini watu mnaishi kwa uhasama kiasi hiki mimi moyo wangu ulivyo mdogo nadhani ningekufa kwa mawazo. wote wajasiriamali huyu akiuza nyanya ya Iringa nawe ukiuza nyanya ya Arusha kuna ubaya gani. mbona mitandao ya simu inakuwa na promotion kila kampuni kivyake ila wote wanachouza ni airtime? si wangekuwa wanagombana kisa kuigana. haina maana yoyote eti kusema unaigwa halafu nyie wapambe mnaojipendekeza ndio sumu kubwa tena ya Cobra. unathubutu kumtumia Mange msg kumwambia fulani kakugeza kutangaza MAC. hivi hamjawahi kuona wanamuziki wa nchi mbalimbali na wala hawajuani ila mawazo yao yakagongana na wakafanya kitu kinacho shabihiana? kuweni wastaarabu mnachochea moto then nyie mnakaa pembeni kimya. ukute mtu ana chuki binafsi labda na Mange basi atakaa nyuma ya mgongo wa maadui zake kuendeleza chuki zake ni hivyo hivyo labda kwa Jestina au kwa Mbuta nanga. jamani tuwe na maendeleo tuchape kazi sio majungu ya kijinga. sipendi maugomvi ya kijinga mimi. wengine hawana kazi wamekalia umbea tu kwenye visimu vyao na vi computer vya mabosi zao kugombanisha watu.

    ReplyDelete
  4. kwa upande wangu sijaona ubaya wa mange naye katumiwa hiyo msg na mdau kama wewe Flora Lyimo ulivyotumiwa na akaeleza ukweli wake kuwa hana ubaya na mtu anyeiga maendeleo coz kila mtu mungu kamjalia kupata kile anachostahili , kaweka pale na wadau wametoa maoni yao , na kama unavyojua ma anoy sisi ndo wakuzaji wa kila kitu kionekani kikubwa hata kama kilikuwa kidogo na hili ni tatizo letu wabongo huwa hatupendi kuona watu wanapatana lazima mtu achombeze chombeze ili mradi tu mtafaruku utokeee , same to you flora umeweka hapo hiyo habari kama mdau alivyoomba umuwekee lakini belive it or not kuna watu wataongea tu kwa blog nyingine ohhh flora kaingilia bila hata ya kusoma habari yenyewe kwa kina na kuelewa, maana kuna watu akili zilishahama sikunyingi hawafikiri wala kuuliza mara mbili nikiandika hivi itanisaidia nini ? napata faida gani? hakuna ni ili mradi ameandika apate alitakalo its just my opinion any way PEACE AND LV WAPENDWA

    ReplyDelete
  5. KWELI KBSA MDAU HATA AUZE MAGAGULO MANGE KIMAMBI TUTANUNUA SANA TU YN HATA AKIJA NA NGUO ZA KULALIA NA CHUPI TUTANUNUA HYA KAZI KWELI KUSHINDANA YN......... ILA MKUMBUKE MANGE KIMAMBI NAMBA NYINGINE ILEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA MTAISOMA HII KITU KIMYA KIMYA..............

    ReplyDelete
  6. Jestina anahaki ya kutangaza na kufanya biashara atakavyo mambo ya nani kaanza kutangaza siyo issue Mange hajiamini na anatafuta symphaty ya watu. Kila akijaribia kusafiri anazua ugomvi mbona wenzake huwa wanafanya yao yeye kutwa kugombana. Mi binafsi sijaona kosa la jestina hadi iwe topic ya kumanga mtoto wa watu. It's too much now kila mtu anahaki ya kufanya anacho taka. Mange kaiga wangapi? Na wewe Flora acha kuingilia mambo yasiyo kuhusu na kushadadia maugomvi bila sababu. Jestina do your thing kila mtu na riziki yake na wateja wake.

    ReplyDelete
    Replies
    1. wewe naye huelewi, mange hajakataa kugezwa au kuwa na biashara zinazolingana, yeye amemrusha hewani huyo shakunape aliyetuma email kujifanya kukasirika 'eti mange anagezwa' washabiki maandazi kama kawa. mangee hana kosa. kosa ni la hao mashakumpe wanamtia maugomvini kila kukicha. kashtuka..rudi kaisome ile post vizuri. bloggers pendaneni..washabiki wenu kuwaridhisha ni kazi sana.

      Delete
  7. Yaelekea JG anakosesha sana watu usingizi mtu kaja zake na mzigo wake kabla ya huyo Mange. Mi nilimkuta dukani kwake siku alofika na akaniambia ana MAC ila alikuwa na haraka akatuamibia ataweka tangazo na akiwa na time atatupigia tukajaribu. Sasa Mange kaweka tangzonlake kabla JG hajaweka lakini alikuwa na products before mange kwani kosa lake ni nini hadi awe topic? Kwanza naona kweli nyie ndo mnampa promo ya nguvu maana kajikalia kimya anafanya yake. Na kwanza nauuliza plus size JG ndo alianza kutangaza analeta dukani kwake mbona na mange aliweka tangazo lake analeta plus size nae tuseme kamuiga JG? Acheni roho mbaya muacheni JG na hamjui tu ni kiasi gani anabarikiwa kwa kukaa kimya nyie endeleni kumtukana mungu anampigania.

    ReplyDelete