KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 13 November 2013

BY:FLORA LYIMO~BREAKING NEWS.., WEMA SEPETU AFARIKI.! FUCK IT'''

BREAKING NEWS..,
WEMA SEPETU AFARIKI.!

Msanii na miss Tanzania mstaafu Wema Aizak Sepetu amefariki dunia akiwa njiani akiwaishwa hospitali baada ya kuanguka akiwa ofisini kwake. Msanii huyu maarufu nchini inasemekana alipata mshtuko baada ya kusikia kuwa mpenzi wake alipata ajali mda mchache uliopita. Hayo ni baadhi ya matukio katika muvi mpya iliyotoka jana inayoitwa My Love. Ndani yupo Wema alicheza kama mke wa Hemed phd, tafadhali usikose nakala yk.
KABLA YA YOTE '' WEMA POLE SANA MY DEAR''
Jamani mimi nimelia Gafla kazini sikuweza kuongea nimestuka kwa kusoma hii post kwenye facebook HOME'' wafanyakazi wananitizama na kushindwa kuelezea'then nikaendelea kusoma ndipo nikakuta ni movie' MBUTA NANGA'' FUCK IT 'kwa herufi kubwa kabisa'yani unajua jamani tunatakiwa kuwa makini sana na kuandika habari zenye vichwa badala ya habari zenye viungovyote muhim na vyakutowasababishia wengine ugonjwa wa moyo'' hebu someni walokutwa wakishindwa kupumua hapa '' 

  • Pendo Naftali Adhero umenistuaje hapa
  • Ryvich-Company Tanzania Yaani we mama wawili ungenipatishaje heart attack!!!nilivyo kada hai na muasisi wa team wema sitaki kabsaa afe mapema hivyo!!yaani mpite bi kidudes age kwa kweli
  • Elizabeth Lebayo mweh tutauana jamani.
  • Flora Lyimo FUCK IT....YOU KNOW CHOZI LIMENITOKA...JAMANI MSIANDIKE VICHWA VYA HABARI HIVI....KANUMBA ILIKUJA HIVI HIVI...MBUTA NANGA. .

  • Teddy M Nkuba Unajua nimepata mshituko nikaishiwa pozi..muone
  • Jim Olumoso ...duh, Umenipataje ! Nimeshituka kilugha "bagosha ouMungu uyuu "
  • Ryvich-Company Tanzania yaani hii post mtu asiyepoteza poz ujue mchawi wa wema huyo
  • Eva Chabai Hahaaa Suzane M. Nganga ulitaka nipige yowe..
  • Suzane M. Nganga Flora my love pole, richieeee hahaha mi mwenyewe nimepatwa na butwaa nkakaa chini nikalia kumaliza kusoma status nkajiona jinsi gani naweza kamata machozi ya wengine
  • Dullah Balawazi PUMBAVU!
  • Irene Mbowe Hahahahahahahhahabhahahah
  • Eva Karim Kiherile Niliiona hii post somewhere nikaenda kuangalia kwa mablog sikuona kitu,kumbe ni movie
  • Pendo Gladness Peonson me wala sijastuka nimejua ni movie coz now adayz break newz kedekede

  • Erline Wa Ringia We suzan wewe unahitaji kuchapwa kiboko. Nimeshtukaje!! Dah
  • Yuster Sengo Jamani nimeshtuka

  • Mbawala Rockita Laidy Nimetoa chozi kabla ya kumaliza kusoma kabla sijamaliza kusoma nkaangalia tena mwanzoni nkaona hizo alama za ....... Nkajua utani but nkahis alieandika hajui matumiz yake ,nkaendelea kumalizia ndipo nlipotoa no la hasira (tusi) kha.

  • Tinkle Bell Da wewe suzy wewe,presha hiz jaman

2 comments: