KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 9 June 2014

BY FLORA LYIMO ~ THIS IS THE WEDDING OF THE YEAR 2014 HUKO TANZANIA'' PATA FAB PICHA ZA ARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA MKEWE ANANDE NNKO''

Maharusi ,Joshua Nassari na Anande Nnko wakiweka pozi kwa ajili ya kuchukuliwa Taswira.
Maharusi ,Joshua Nassari na Anande Nnko wakiwa na wapambe wao katika pozi la kuchukua Taswira.
Taswiras katika maeneo mbalimbali ya Ngurdoto Mountain Lodge.
'This is FABULOUS '' I LOVE MLIVYOJIPANGA'' NA MAVAAZI BILA KUCHAFUA '' I ALWAYS SAY'' HARUSI hupendeza wakati wapambe wanapo kuwa sawa'' kama ni saba wanawake na wanaume wawe saba pia'' yani namba ziwe sawa na mavaazi yawe sawa'' KAMA HIVI''HUU NI MFANO MZURI SANA''KAMA UNA ARUSI YAKO SOON ''IGA''
Bwana Harusi Joshua Nassari akiwa amebebwa na wapambe wa Bi Harusi.Yani I must say 'This is FABULOUS '' I LOVE MLIVYOJIPANGA'' NA MAVAAZI BILA KUCHAFUA '' I ALWAYS SAY'' HARUSI hupendeza wakati wapambe wanapo kuwa sawa'' kama ni saba wanawake na wanaume wawe saba pia'' yani namba ziwe sawa na mavaazi yawe sawa'' KAMA HIVI''HUU NI MFANO MZURI SANA''KAMA UNA ARUSI YAKO SOON ''IGA''
Bi Harusi Anande Nnko akiwa amebebwa na Bwana Harusi pamoja na wapambe wake.
SO LOVELY,ROMANTIC  '' BE BLESS ALWAYS NA NDOA YENU WAPENZI''
Pozi tofauti za Maharusi Walipendeza sana' i must say 'Flora Lyimo Fashion Police Blog''
Maharusi wakiwa katika picha ya pamoja na wazizi wa Bi Harusi Anande Nnko pamoja na ndugu zao.
Maharusi wakiwa na Mzee Ediwn Mtei pamoja na Mama Mtei.
Masanja Mkandamizaji (wapili kushoto na MSALABA) na Oscar Nyerere pia walipata picha ya pamoja na maharusi.
HONGERENI SANA MY DEARS'' Bwana Harusi Joshua Nassari akiwa katika pozi la picha na wazazi wake.
Bunge la Jamuhuri ya muungano pia liliwakilishwa vyema.Naibu Spika Job Ndugai akipata taswira na maharusi.
Mbunge wa viti maalum Lucy Owenya pia alihakikisha na yeye anakuwa kwenye kumbukumbu za Picha ,Baada ya picha safari ilikuwa ni ya kuelekea Ukumbini yote utayaona hapa hapa. Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini.
POSTED BY:MHIDIN MICHUZI'
''THANKS KWA UPEPERUSHAJI WA PICHA ''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment