KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 10 May 2013

SIKU YA PILI BAADA YA MAKAMUZI YA DIAMOND NA DANCER'S WAKE 06-05-2013 NDO ILIFIKA TIME YA FLORA LYIMO a.k.a.MUKE YA AFRICAN KING KULEWA NA DIAMOND" MBUTA NANGA" TUIMBE WOTE 'NATAKA KULEWA LEO x2 HAHAHAA!!

 KWA RAHA NA PESA ZANGU 'JAMANI SIMNAJUA VYABURE VINA MALIPO YAKE' EEE"








 THE AFRICAN BEAUT OF TANZANIA' FLORA LYIMO FASHION POLICE''MWINGINE ULIMWENGUNI HAKUNAAAAAAAAA" SOMA MANENO LETA KATA NIKUTILIE MBEGE" WARI 'UNANGO NEINYI MLEU" MBUTA NANGA!! hahha'Kichagga kitamuje apo"

 SWAGAZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ ZA FLFP IN READING!!



HI NDUGU ZETU WATANZANIA WENZETU..ENJOY WIMBO HUU WA SUPER STAR DIAMOND" NATAKA KULEWA LEO ..KWANI I HOPE WENGI MWAUPENDA KAMA MIMI HASA PALE MNAPOKWENDA KUMUONA STAR MWENYEWE ALOUIMBA WIMBO WAKE HUU'' YANI MSINIONE NIKIWAPOSTIA MAMISHAPO YOTE NA MIKANDA MIZIMA YA SHOW YA MWISHO YA DIAMOND IN READING UK'' HII SIKU YA HAPA NILIPOPIGIA PICHA HIZI NIKIWA NA FURAHI KWA PESA ZANGU NA RAHA ZANGU 'WALE NILOKUWA NAO WALIKUWA NI ULE MSEMO USEMAO ..KIKULACHO KII NGUONI MWAKO''YANI WANGENIWEKEA HATA SUM'RUWA MANGI'' IM JUST SO BLESSED NA NIMEAMINI IM GOD'S GIRL  NA MAMA BIKIRA MARIA NDIYO SABABU YAKE KUNIAMBIA NITEMBEE NA ROZARI SIKU ZOTE NDIYO KINGA YANGU NA UFUNGUO WA KUINGIA MBINGUNI'' SIDHANI KAMA SIYO BURE KUKUWEPO NA ROZARI YANGU SIKU HII YA TAREHE 6-05-2013 KUNA ANGERUDI LONDON SALAMA SIKU HII''AISEE YOTE  NI MUNGU ANAYAJUA 'NA NILISHAAPA SIMPIGI MTU TENA KWANI MIJITU MINGINE ISHAKUWA SUGU HATA UIPIGE NA GOGO GANI HATA CHUMA GANI HAITASIKIA WALA KUKOMA,ILA KUNA DAWA YAO NAIJUA MIMI' 'SITOSEMA ZAIDI 'ILA NAUMWAA SANA KUJUA KWAMBA HAWA NA HASA MUANZISHAJI ALIKUWA AMEKAA NA MIMI MEZA MOJA NA CHAKULA NIKAMGAWIA BAADA YA CHAKULA HICHO KUISHA NA TULIKUWA SOTE KAMA NDUGU NA NITAZIDI KUMPENDA MAANA 'MUNGU KASIMAMA NYUMA YAKE NA FIMBO KALI SANA IPO SIKU ATAMSHARAZA NA DUNIA KUJUA 'LICHA YA WATU WANNE KUJUA''NA NAMSHUKURU MUNGU MNO NILIWAJUA ADUI ZANGU" ANYWAY 'NOW TUIMBE KWA PAMOJAAAAAA'''NATAKA KULEWA LEO 'NATAKA KULEWAAA"

5 comments:

  1. lewa nae mama maisha mafupi''ila chunga mchuma wake una wengi wanautumia''wanawake tutakufa na magonjwa sana maana kwa kushare mabwana hatujambo''

    ReplyDelete
  2. na wewe pia kuna vitu unaudhi bana hebu badilika, picha unatuwekea nyiiiiingiiiii sehemu hiyo hiyo mavazi hayo hayo umeshikilia JD kunywa hunywi cjui ndo ya kupigia picha?? lol. tuwekeege picha chache za ladha tofautitofauti bana.ni hayo tu. usichukie niushaurituu

    ReplyDelete
  3. Jamani wewe Anonymous,,mbona wivu huo..hiyo JD wewe ndo uliinywa hadi kufikia hapo ilipo in picha na ilipokwisha wewe ndo uliimaliza? na nikitoa picha ya mchupa wa JD kumalizwa na Flora Lyimo mnabakia mkishangaa,,,ndo yale yale ya mistari yangu ya TAARABU NIMEWAANDIKIA IN FACEBOOK AND IN MY BLOG..mbuta nanga'.WACHENI WIVU KAFANYENI KAZI,,MIMI NAFANYA KAZI NAJIRUSHA NA HONGA KWA JASHO LANGU SIYO LA WANAUME''NJOONI NIWAPENI MKOPO MPATE KAZI ZA KUFANYA'''

    ReplyDelete
  4. Shila umelikoroga utajuta waulize wenzio

    ReplyDelete
  5. Hahahahaha nichekee mie kumbe hapa anafumbiwa Shila Fashion Diva uwii tupe michapo ilikuwaje au na yeye alitaka kukubaka?

    ReplyDelete