KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 10 August 2013

BY :FLORA LYIMO~ CALL- BOXES ZA ULAYA -LONDON ZATUMIKA KWA MATANGAZO YA KUJIUZA HASA KWA WANAWAKE''SEX WOKERS BADALA YA KUTUMIKA KWA KUPIGIA SIM ZA KAWAIDA ''

 Huyo nae alifika kutafuta pesa ikiwa zimebakia hum,,sasa Mimi nilimshanga maana hizi sim ni mbovu hazitumiki tena siku izi kwasababu ya watu pia kutokuzitumia 'yani Tangu sim za Mikononi ziingie kwa kasi na za kila aina 'hizi call Box zikakwisha habari zake kabisa'' Mimi Mwenyewe sikumbuki mara yangu ya Mwisho kuzitumia lini'' Ila nakumbuka nilipo ingia London kwa Mara ya kwanza in 1994 ndipo hizi sim zilikuwa za tumika sana ''unaweka £20p unaongea kwa dakika moja'' then unaweka £1.00' hiyo inatosha mazungumzo yakusema upo wapi ,unachelewa au ndo unakwenda kuingia underground 'kuchukua Train '' kwa hiyo utafika masaa fulani '' Basi siku izi ukiona Mtu anaingia hapo wengi wao wakiwa Wanaume wanajifanya wanapiga simu kumbe wanapiga simu za hao wanaojiuza na hawapo mbali, wapo Hapa hapa Mijini na wengine unawaaambia upo wapi wao wanakuja kukufuata''ulipo ila  mahotelini zaidi 'kwa wale wanaume waliokuja Holiday wenyewe au kikazi zaidi''
Next time nitawatembelea kwenye mitaa yao nakuwaonyesheni wanavyojitangaza'nakumbuka mara ya kwanza nilipokuwa naonyeshwa Jiji la London 1995 nilipitishiwa Mtaa huo nakuambiwa na Mzungu wangu (Muingereza)at the time''kwamba you see that post over there'' saying Models ''is not Models that we think 'Inside are working Girls which are having sex for money 'He say to me''lol'' Then I was like''Ok''and are they allowed to do that ? He say no that is why the poster says Models inside and not saying sex girls or sex workers inside'' hahhaaa'' Yani nilibakia nashangaa'' And I say to Him can we go inside to see them ? Mchagga Mie navyopenda kujua''Mbuta Nanga''Then He say to me No they wont let us in ,Only if I go by myself and Also I must say to them what I want so they know I'm not the Police or the Undercover''who want to find out what they do in there'' Anyway was a long time ago and a long story to tell'' 

 Umeona eee'''ndo hao na namba zao ''mbuta nanga''sasa hapa hawa wanakuja kubandika matangazo haya hapa hawaruhusiwi na wakikamatwa na Police wana sheria inayowakabili''basi wao huja na kuyaweka upesi upesi kama mwizi vile''nakuondoka fasta fasta ''na wakikuta pamejaa''wao hubandua ya wenzao na kuyatupa chini na kuweka yakwao fasta fasta maana wanalipwa na wenye hayo matangazo''hahhaaa mimi huwa nawaangalia kama movie vile''
MMEONA MATANGAZO YAO Eeee,,ESCORT KWA SANA'' UKIPIGA MOJA YA SIM HIZO KWENYE HIVYO VIPOSTA VYAO NDO UNAAMBIWA KILA KITU APO''YANI NI NOMAA KWA KWELI''HII BIASHARA YAKUJIUZA WAMEJARIBU KUIKATAZA UK -LONDON WAKINI WAPI'' TENA NDO WANAKUJA NA STYLE ZAO MPYA''KAMA HIZI NA UKIBANDUA WANABANDIKA NA WEWE NYUMA YAKO''UNAPOPANDA GARI NAO WANAINGIA KUPANDIKA''POLICE NA WAFANYAKAZI WA HAWA WENYE KUBANDIKA MATANGAZO HAYA'' ILA WAKINIPA MIMI HIYO KAZI YAKUWANASA''MBONA KAZI RAHISI TU''NITAWANASAJE SASA''CHEZEA FLFP''AKUACHE KWENYE MATAA''MBUTA NANGA!!
 Yani nakumbuka kuna siku niliweka hum £1'00' yangu na ikazama bila mawasiliano na sikuirudishiwa kwa kweli hizi simu zilikuwa ni za wizi sana kwa wenyewe kwani ulikuwa ukiweka pound moja na hujamaliza mawasiliano yako ya £60Pence zilizobakia ,basi hakuna change unayorudishiwa''unabakia ukiligonga gonga na kulitingisha tingisha lakini wapi''

HABARI NDO HIYO ''JE WEWE KAMA UPO UK -HASA LONDON 'UNAKUMBUKA MARA YAKO YA MWISHO KUTUMIA HIZI SIM ZA CALL- BOX . TELEPHONE BOX(BRIT) AMBAZO HUWA KANDO KANDO YA BARABARA 'MITAANI KWA AJILI YA SIM ZA DHARURA'' ILA NDO HIVYO TENA SIMU ZA MIKONONI NDO ZILI TAKE OVER'''NA KUZIUWA KABISAA''
ANYWAY ~WACHA MAONI YAKO HAPA HAPA .TUNATAKA KUSIKIA YAKO NA IKIWA HUJATUFUATA DO IT NOW''  FOLLOW THIS BLOG" 
USIJEUKAPITWA NA MAUKWEE YA YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE''

3 comments:

  1. HUO NDIO MPANGO MZIMA UNAINGIA CALL BOX MNAMALIZANA UNAPANDA BUS UNAENDA KUKANDAMIZA UKITOKA MWEPESI HATA £50 HUMALIZI. MPK UITE HAO WA ESCORT SAA NGAPI NYEGE ZIMEISHA..LOL..KUDADADEKI

    ReplyDelete
  2. Hhahahhaa Flora Lyimo your the most INSPIRED TANZANIA LADY in London''Yani unavyotustukia kwa habari moto moto za maukwee hapa kwa hii blog yako ni nomaa,siachagi kuingia hum hata siku moja 'na hii ya leo naona wanaume wengi watapewa talaka.mbuta nanga.... hizo namba za sim ni majangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa''wacha na mimi nijaribu bahati yangu''

    ReplyDelete
    Replies
    1. mdau hata mimi, mwanzoni alikuwa ananiboa flani kujisifia sifia, badaye nikamzoea basi nachekaga mwenyewe tu...nilishamshukia mdau mmoja kakoment eti Flora mshamba kisa kapost picha za watu mitaani, kwenye bar , nilimandi kinoma nikasema ye ndo mshamba. blog yake Flora ana uhuru kuweka chochote. now i like this blog vibaya sana. BIG UP MAMAA WA MBUT NANGA..hahahahahahaha

      Delete