KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 9 March 2014

BY FLORA LYIMO~ ITS ALL ABOUT THE FAB DRESS IN FLORA LYIMO FASHION POLICE 'AMBAZO NI BY:FL DESIGNS&TRADES ' ZINAPATIKANA KWA BEI POWA IN TANZANIA PIA' KWA KUAGIZA JUMLA AU REJA REJA!!


Pole pole Miss Lyimo''ukidondoka hapo ni moja kwa moja mpaka Moshi Kilimanjaro 'Mbuta Nanga!! Jamani Enjoy huu wimbo wa HABIBI YA NOUR EL AYN'' Naupenda sana sana sana'na huwa naucheza sichezewi eti eeee'' hahahaha'' Basi niwape siri ya kwenye Nikkah hii ya tarehe 08/03/2014 ambayo nilivaa hiyo nguo ya Black nikiwa kikazi zaidi''Aisee nilipokuwa na mfyetua Bwana Arusi Shemeji yetu 'Yeye walimuwekea huu wimbo yani akiingia ukumbini ''alipofika pahali pake basi 'Mimi nilianza kuchezaje''nikama Ulinilewesha vile'' I just Dance na kujisikia kama nilikuwa Uarabuni na siyo London Barking Road ''mbuta nanga''kweli Raha nikujipa Mwenyewe na nazijipa asikudanganye Mtu''Ruwa Aika mbee'' 














Mwaliona The Dress come in rangi Tisa 'na hizi Mbili ndizo nimevaa kwa mitoko yangu ya Muhim na ya Kikazi zaidi''

Hizo kulia ndizo rangi zote za gauni hili nililovaa in white and in Black'' je wewe Rangi yako ipi hapo'' chaguo na Hela ni wewe tu'' nakusubiria upate to Rock it like your Flora Lyimo Fashion Police(Pichani) kwa wale msionifaham'' 




Mambo ya Viatu ''yani hapa pia mwaona Vile the magauni haya nilivyoyavaa eee''vyote hivyo vyapatikana 'kasoro Viatu tu'wewe whatsapp or call +44 7787471024 Tuna njia ya Mpesa pia kwa kunitumia Hela za oda zetu''


Mtindo huu pia unapatikana in rangi saba'' karibuni sana'msiende shughulini na vikaputula tena ,eti mwaenda Red carpet na vikaptula''hivi mlikuwa hamuoni haya ? Yani mkisikia red carpet ni Magauni tu'' so kaeni mkijua hilo my dears Tanzanians'' Kuna wenggine mpo mpo tu'' huku mwaingia hamuoni eeee'Basi waambieni wenzenu wawasomeeeni au wawavalisheni'mbuta nanga!!





Hizi zote na nyingine nyingi zapatikana kwa kuoda in jumla au reja reja'' Tanzania pia unaweza to whatsapp +447787471024 na kutoa oda yako na pia unaweza kulipia kwa Mpesa '' na unapokea mzigo wako just in ten working days'' KARIBUNI'
FLORA LYIMO DESIGNS&TRADES

No comments:

Post a Comment